Perfectz
JF-Expert Member
- May 17, 2017
- 9,045
- 28,216
UMEPANIKI ABDUL KIBA😂😂😂Mlaumu baba yako kwa kukunyima akili.
Utakuwa msukule wa watu mpaka unakufa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
UMEPANIKI ABDUL KIBA😂😂😂Mlaumu baba yako kwa kukunyima akili.
Utakuwa msukule wa watu mpaka unakufa
noma sanaHataki shobo...kwanza anazo channel kama 200 🤣
Kwahiyo Ally Kiba kapitwa na Konde au?
Unaknowledge ya maswala ya Artificial Intelligence technology?.Ukumbuke boosting na bots ni tofauti lakini
Ushahidi kutoka YouTube?USHAHIDI: Kumbe Wasafi wanaboost YouTube Channels zao kupata views. Sijui tambo huwa zinatoka wapi wakati siyo natural trending !!!
Ninaweka kama kumbukumbu tu !! Kwa wale wasanii wengine wanaotegemea kuweka tu video zao YouTube na kutegemea kila kitu kiende basi ndio hivyo wenzenu wanalipia !!!www.jamiiforums.com
Punguza pombe Kali na UGORO kijana. AshholeUshahidi kutoka YouTube?
Hamna system ambayo huwezi kuhack kila system unaweza ukahack ila huwezi kuwadanganya kila siku, hizi system zina tools za kuzi monitor,kuna watu wa security auditing, kuna marobot wa kufuatilia na bado kuna AI. So vyovyote ufanyavyo ndani ya wiki watakujua tu.
Hapendagi showoffKwahiyo Ally Kiba kapitwa na Konde au?
Ali hapendi show offOrodha hii ni kwa mujibu wa mtandao wa Social Blade kwa kutazama idadi ya kutazamwa maudhui ya chaneli husika;
1. Diamond Platnumz – 1,665,769,709
2. Millard Ayo – 1,418,005,282
3. Global TV Online – 1,122,433,417
4. Rayvanny – 694,793,379
5. Harmonize – 683,915,867
6. Wasafi Media – 604,989,177
7. Azam TV – 461,735,295
8. Young Tubers – 402,403,620
9. Mbosso – 412,568,635
10. Li Dancer Chris – 297,691,717
11. Zuchu – 275,493,429
12. Alikiba – 194,106,472
13. Steve Mweusi – 181,118,994
14. Lava Lava – 179,449,218
15. Aslay – 166,629,576
Naona mkongwe Ali Kiba anakimbizwa na vitoto vya juzi kwenye game la Bongo Fleva.
Hapendi kabisaKwa hiyo huko youtube kuna mashindano kumbe? Na sikumbuki kama nilisikia Kiba anataka mashindano ya kutazamwa huko mjini YOUTUBE
Wananionea wivu Ally ambae hataki kiki kabisaKuna mawehu wanataka kuidodesha na kuidharaulisha jf, sasa idadi hiyo ya views kwa muda gani n.k., badala ya kuliangalia hilo thread imegeuka, na ndivyo inavyoonekana, imekuja kumchamba alikiba. Ajabu ni kuwa wachambaji hata kwenye koo zao tu zilizo na members 12 hawajulikani. Cha kuchekesha ni kuwa wanakuja kumponda mtu anatazamwa tz nzima
Wasanii wengine hawajui kuboost eehh?Happy Kuna wasanii wanategemea sana organic traffic.
Diamond na wasanii wake wanapenda sana ku-boost video zao zrnye views chache.
Ndio akili yako imeishia hapo p*$$y @ss niga.Punguza pombe Kali na UGORO kijana. Ashhole
Huamini au?? [emoji23][emoji23]