Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ushuzi tupu....Changamoto #11 ni Magufuli ambaye ameshavunwa .
Bila shaka na hizo changamoto 10 zilizobaki zitamalizwa kwa wakati wake
Hiyo orodha yako inapaswa kuandikwa kwa kutumia neno moja tu: KATIBA. Mambo ya uongozi ndiyo yanasababisha changamoto za maji, umeme, chakula, elimu nk na huo uongozi ni zao la katiba.1)Maji
2)Umeme
3)Barabara
4)Afya
5)Uongozi
6)Biashara
7)Katiba
8)Chakula
9)Ajira
10)Elimu
Kama ni hivyo mbona wananchi hawalioni hilo.11.CCM
Dah! Sijui tumfanyeje sasa maana anatusumbua sana.Changamoto #11 ni Magufuli ambaye ameshavunwa .
Bila shaka na hizo changamoto 10 zilizobaki zitamalizwa kwa wakati wake
11.CCM
CHANZO CHA MATATIZOChangamoto ni hizi:
1. CCM
2.CCM
3.CCM
...
...
...
100000. CCM.
Katiba haikuhakikishii chakula Bora na malez wew , kwa hiyo Kenya ghana na South Africa hizo changamoto zimeishaaHiyo orodha yako inapaswa kuandikwa kwa kutumia neno moja tu: KATIBA. Mambo ya uongozi ndiyo yanasababisha changamoto za maji, umeme, chakula, elimu nk na huo uongozi ni zao la katiba.
Kama ni hivyo mbona wananchi hawalioni hilo.
🤣🤣🤣🤣Changamoto ni hizi:
1. CCM
2.CCM
3.CCM
...
...
...
100000. CCM.
Changamoto namba 5 ndiyo Chanzo cha hizi changamoto nyingine zote..1)Maji
2)Umeme
3)Barabara
4)Afya
5)Uongozi
6)Biashara
7)Katiba
8)Chakula
9)Ajira
10)Elimu
Anayekukaza hakuachi uoge.Changamoto #11 ni Magufuli ambaye ameshavunwa .
Bila shaka na hizo changamoto 10 zilizobaki zitamalizwa kwa wakati wake
Hawalioni kwakuwa wamesinzia.Kama ni hivyo mbona wananchi hawalioni hilo.
No 5 ndio msingi.Achilia tabia binafsi za waafrikaChangamoto 10 zinazofanya Maisha ya Watanzania kuwa Magumu
1) Maji
2) Umeme
3) Barabara
4) Afya
5) Uongozi
6) Biashara
7) Katiba
8) Chakula
9) Ajira
10) Elimu