Youngblood
JF-Expert Member
- Aug 1, 2014
- 19,433
- 56,810
Madoa,kwa mafundi wa mtaani ni changamoto,sio wasafi kabisaKuna madoa ya wakati wa ujenzi nayo ni hatari ,ukipata fundi sio msafi wakati wa kuweka tiles ataacha alama kila kona .
Angalau wako alikuwa msafi ila wengine wanaacha madoa hayatoki ng'o.Madoa,kwa mafundi wa mtaani ni
changamoto,sio wasafi kabisa
Mafundi wengine wanazingua sanaAngalau wako alikuwa msafi ila wengine wanaacha madoa hayatoki ng'o.
View attachment 2831407View attachment 2831408View attachment 2831409
Tatizo huo uchafu haukuwepo umetoka baada ya fundi kukabidhi kaziAngalau wako alikuwa msafi ila wengine wanaacha madoa hayatoki ng'o.
View attachment 2831407View attachment 2831408View attachment 2831409
Jamaa sijui ameroga nyumba[emoji1787][emoji1787]Hujamdhulumu fundi kweli
🤣🤣usikute hayo n machozi ya fundi aiseeHujamdhulumu fundi kweli
Hawa ni mafundisho wa wapi washamba hivi mpaka Sasa hivi wanaacha space kati ya kigae? Huo ni uchafu uliopindukia kwani wataalamu wa Sasa hivi hawatumii tena ma spacer na vigae vinakuwa na mwonekano mzuri na hakuna tatizo sijui lanupumuaji, sijue kutanuka hakunaAngalau wako alikuwa msafi ila wengine wanaacha madoa hayatoki ng'o.
View attachment 2831407View attachment 2831408View attachment 2831409
Hao wa vijana wa mtaani wengi sio watalaamu ,Mother hopo ni kwake ndio aliwaleta yeye anaona sawa ila wamechafua ...Bado wa rangi nao ukutani wamechafu yaani tafarani.Hawa ni mafundisho wa wapi washamba hivi mpaka Sasa hivi wanaacha space kati ya kigae? Huo ni uchafu uliopindukia kwani wataalamu wa Sasa hivi hawatumii tena ma spacer na vigae vinakuwa na mwonekano mzuri na hakuna tatizo sijui lanupumuaji, sijue kutanuka hakuna
Aiseeumejenga juu ya kaburi mkuu
Fundi nisaidie kutatua hili tatizo ndugu yangu,sijadhulumu fundi[emoji3][emoji1787][emoji1787]usikute hayo n machozi ya fundi aisee
Kwahiyo mkuu kwa uzoefu wako hayo maji yanaweza kuwa shida ni niniHawa ni mafundisho wa wapi washamba hivi mpaka Sasa hivi wanaacha space kati ya kigae? Huo ni uchafu uliopindukia kwani wataalamu wa Sasa hivi hawatumii tena ma spacer na vigae vinakuwa na mwonekano mzuri na hakuna tatizo sijui lanupumuaji, sijue kutanuka hakuna