Changamoto gani utakutana nazo kwa kuoa au kuishi na Mwanamke mwenye mtoto?

Changamoto gani utakutana nazo kwa kuoa au kuishi na Mwanamke mwenye mtoto?

GAZETI

JF-Expert Member
Joined
Feb 24, 2011
Posts
5,286
Reaction score
6,736
Habari wakuu,

Hapa nakusudia mwanamke mwenye mtoto ambaye si wako, Mtoto ambaye kwa kiasi kikubwa bado anahitaji ukaribu na mama yake.

Nimeshuhudia ndoa ya Jirani yangu ikiyumba baada ya mtoto wa miaka takribani miwili na nusu au mitatu Kuletwa nyumbani na mkewe kwani wamekaa wastani wa miezi 3 bila ya mtoto huyo kuwepo.

Tatizo ninaloliona ni utundu wa huyo mtoto ambao wakati mwingine unasababishwa na kudekezwa na mama yake.

Mfano siku moja aliiburuza chini Iphone ya baba yake mlezi, akafokewa na baba huyo, Jambo hilo lilisababisha mama akasirike kwa madai kuwa baba hampendi mtoto.

Je changamoto gani nyingine za kuoa mwanamke mwenye mtoto mdogo?


========

Wakati nakutana naye we were like ok we will just be fvck buddies at that point her kid was four months old. A month after FWB started she told me she thinks the FWB degrades her so let's have a relationship.

As a nigga I couldn't throw away my chances of smashing a fine nyau so I agreed. Fast forward a year later dogo amekua anaongea na mtu anayemuona na mama yake ni mimi so lil nicca called me daddy. Baba yake mzazi alikua ameisusa familia so nilikua ni provider since akiwa na miezi sita hivi.

Dogo akakua mpaka miaka 2 hapa sasa mzee wake akaja kutaka mtoto binafsi naamini wanaume hatupotezei watoto wetu kwa kupenda so sijawahi kua against interests za mshkaji anapokua anamtaka mwanae. So nilivyoambiwa anataka mtoto aende nikasema aende, mtoto kufika alivyoonyeshwa baba akakataa akasema a guy is not his father and in fact anataka baba yake apigiwe simu ili awasemee mama mtu alivyopiga alivyoniambia hivyo pengine alidhani nitafurahi ila nikakata simu.

Anyway, dogo ana miaka 5 sasa hivi, ana wadogo zake, tupo mikoa tofauti ila since akiwa na miaka 2 tumeishi pamoja. Mitihani ya mwezi uliopita katika swali la 'What is your father's name' akaandika jina langu hajajua kulitamka vizuri so kaandika kama anavyolitamka ila hua naelewa hapo kamaanisha jina langu.

Msingi wa uhusiano wowote uwe na single parent au la ni uaminifu na kuaminiana this will keep you going na kuacha zile za Baba mtoto akimcheki tu anapiga, hizi ni stori tu uhalisia ni zaidi ya hivyo as kama mtu wako anataka kumegwa atamegwa hata na jirani zenu.

Kuhusu kulea watoto na attitude yako towards mtoto uliyemkuta nafikiri inarandana zaidi na mtazamo wako katika kulea watoto. Mfano mtoto kaburuza simu ni tabia ya kipuuzi kumuonyesha hapa siyo sahihi ni lazima, mama yake anaingilia kwa kusema humpendi hapo tatizo ni mama na siyo mtoto.

Kama amekuamini mpaka kumleta mtoto hapo means ameamini utamlea na malezi yanajumuisha kumfundisha mtoto kwamba actions have consequences. Kama huyo mama haamini katika kufundishana nidhamu ongea naye asipoelewa mdrop mapema huko mbele mtazidi kusumbuana.
 
Hawaachani na waume waliowwzalisha. Wakikutana mwamba akitaka mzigo faster

Gharama za maisha zinaongezeka kwako unahudumia manii ya mwenzako, pata picha mkeo alikuwa anafurahia wakati anazini na huyo baba mtoto alafu unakuja kulipa ww ada starehe ya mwenzako [emoji38][emoji38]
 
Hawaachani na waume waliowwzalisha
Wakikutana mwamba akitaka mzigo faster

Gharama za maisha zinaongezeka kwako unahudumia manii ya mwenzako, pata picha mkeo alikuwa anafurahia wakati anazini na huyo baba mtoto alafu unakuja kulipa ww ada starehe ya mwenzako [emoji38][emoji38]
[emoji86][emoji86][emoji86][emoji38][emoji38][emoji38]
 
Lakini nkamu kwani si wajibu wa baba mzazi kuhudumia mtoto wake na kuplay part kwenye malezi yake hata kama haishi naye? Kuacha kumuhudumia mtoto wako kwa sababu amepata baba mlezi ni kama kuukana ubaba wako kwake, then unamkabidhi mtoto wako kwa mwanaume mwingine mazima.

Leo hii umetengana na mkeo/mzazi mwenzio (God forbid) na akabaki na mtoto then akapata mtu mwingine; utaacha kumuhudumia mtoto?
Ngoja wenye uzoefu waje...

Kuna kero moja ambayo sana huletwa na mwanamke, unapata bado anataka baba mzazi aendelee kuhudumia mwanaye...kitu kinachopelekea mwanamama kuwa karibu sana na ex wake...
 
Watoto ni rahisi ku adopt mazingira mapya na kuelewa wanapofahamishwa. Inawezekana baba mlezi hajazoea kukaa na watoto na alikua na harsh tone kwa mtoto. Hata hivyo watoto wanasahau mapema na wanaelewa kuwa hiki sitakiwi kufanya tena.

Kilichokosena hapa ni uelewa wa wazazi pia lugha ya kufikishia ujumbe.
 
Kuishi Na mwanamke mwenye mtoto au asiye Na mtoto yote ni sawa,
Itategemea Na mwanaume anataka akili yake iwaze Nini,
Ila tambua wanawake ni kama watoto ukiwajulia Wala hawakupi shida,
Wahi kumsoma mwanamke unayetaka kuishi Naye kabla yeye hajakusoma!
 
Wakati nakutana naye we were like ok we will just be fvck buddies at that point her kid was four months old. A month after FWB started she told me she thinks the FWB degrades her so let's have a relationship.

As a nigga I couldn't throw away my chances of smashing a fine nyau so I agreed. Fast forward a year later dogo amekua anaongea na mtu anayemuona na mama yake ni mimi so lil nicca called me daddy. Baba yake mzazi alikua ameisusa familia so nilikua ni provider since akiwa na miezi sita hivi.

Dogo akakua mpaka miaka 2 hapa sasa mzee wake akaja kutaka mtoto binafsi naamini wanaume hatupotezei watoto wetu kwa kupenda so sijawahi kua against interests za mshkaji anapokua anamtaka mwanae. So nilivyoambiwa anataka mtoto aende nikasema aende, mtoto kufika alivyoonyeshwa baba akakataa akasema a guy is not his father and in fact anataka baba yake apigiwe simu ili awasemee mama mtu alivyopiga alivyoniambia hivyo pengine alidhani nitafurahi ila nikakata simu.

Anyway, dogo ana miaka 5 sasa hivi, ana wadogo zake, tupo mikoa tofauti ila since akiwa na miaka 2 tumeishi pamoja. Mitihani ya mwezi uliopita katika swali la 'What is your father's name' akaandika jina langu hajajua kulitamka vizuri so kaandika kama anavyolitamka ila hua naelewa hapo kamaanisha jina langu.

Msingi wa uhusiano wowote uwe na single parent au la ni uaminifu na kuaminiana this will keep you going na kuacha zile za Baba mtoto akimcheki tu anapiga, hizi ni stori tu uhalisia ni zaidi ya hivyo as kama mtu wako anataka kumegwa atamegwa hata na jirani zenu.

Kuhusu kulea watoto na attitude yako towards mtoto uliyemkuta nafikiri inarandana zaidi na mtazamo wako katika kulea watoto. Mfano mtoto kaburuza simu ni tabia ya kipuuzi kumuonyesha hapa siyo sahihi ni lazima, mama yake anaingilia kwa kusema humpendi hapo tatizo ni mama na siyo mtoto.

Kama amekuamini mpaka kumleta mtoto hapo means ameamini utamlea na malezi yanajumuisha kumfundisha mtoto kwamba actions have consequences. Kama huyo mama haamini katika kufundishana nidhamu ongea naye asipoelewa mdrop mapema huko mbele mtazidi kusumbuana.
 
Lakini nkamu kwani si wajibu wa baba mzazi kuhudumia mtoto wake na kuplay part kwenye malezi yake hata kama haishi naye? Kuacha kumuhudumia mtoto wako kwa sababu amepata baba mlezi ni kama kuukana ubaba wako kwake, then unamkabidhi mtoto wako kwa mwanaume mwingine mazima. Leo hii umetengana na mkeo/mzazi mwenzio (God forbid) na akabaki na mtoto then akapata mtu mwingine; utaacha kumuhudumia mtoto?

Labda tunapishana mitazamo...

Najaribu tu kufikiri, inakuaje mwanaume ana mtoto na anaishi chini ya dari ya nyumba ya mwanaume mwingine, halafu kitu pekee anachofanya ni kutuma hela za matumizi/ada n.k

Yaani mwanaume mwingine ampe chakula, malazi na malezi, halafu baba mzazi ujifanye upo responsible kwa kutoa fedha sijui ya matumizi...

Kama mwanamke umeamua kuolewa ilihali una mtoto, ni vyema huyo anayekuoa apende ua na boga lake, hiyo itajenga heshima na kuleta maana nzima ya familia...

Hii ni sawa mwanamke umeolewa na wanaume wawili wenye majukumu tofauti
 
Habari wakuu,
Hapa nakusudia mwanamke mwenye mtoto ambaye si wako, Mtoto ambaye kwa kiasi kikubwa bado anahitaji ukaribu na mama yake.

Nimeshuhudia ndoa ya Jirani yangu ikiyumba baada ya mtoto wa miaka takribani miwili na nusu au mitatu Kuletwa nyumbani na mkewe kwani wamekaa wastani wa miezi 3 bila ya mtoto huyo kuwepo.

Tatizo ninaloliona ni utundu wa huyo mtoto ambao wakati mwingine unasababishwa na kudekezwa na mama yake.

Mfano siku moja aliiburuza chini Iphone ya baba yake mlezi, akafokewa na baba huyo, Jambo hilo lilisababisha mama akasirike kwa madai kuwa baba hampendi mtoto.

Je changamoto gani nyingine za kuoa mwanamke mwenye mtoto mdogo?
Kunyimwa mbususu kwa kisingizio subiri mtoto alale.
 
Linapokuja suala la changamoto haijalishi Mtoto mkubwa au mdogo.
Yes changamoto haziepukiki. Lakini at least ukianza kuishi na mtoto tangu akiwa mdogo, ni rahisi kujenga bond naye, rahisi kumlea kwa style ya malezi ambayo ni ya kwako n.k. Unlike unapoanza kukaa na mtoto ambaye ameshajitambua, ana aina ya malezi ambayo tayari yeye ameshaizoea; so ili muishi kwa amani unaweza ukajikuta ukamuacha aendelee kuishi aina ya maisha aliyoyazoea. The moment unataka umbadilishe ili a-fit in kwenye aina ya malezi yako; unaweza ukatengeneza bomu. (Unatujua wanawake, kila mtu ndani ya nyumba yangu ataishi ninavyotaka mimi)

Kuna dada alikuja humu anaomba ushauri, mchumba wake ambaye ni single father, huwa wanalala na binti yake, sijui wa miaka 8 yule; sasa leo bidada amefika na anataka mtoto aanze kujitegeme kulala mwenyewe. Ukithubutu kuongea chochote mbele ya huyo mtoto kuhusu lifestyle yao, tayari umetengeneza uadui na mtoto. Mtoto anaona huyu amekuja tu, na baba hataki tena kulala na mimi; moto utawaka

Na kuna ile watoto (baba na binti, mama na baby boy) kuwa na wivu naturally na wazazi wao; so unapokuja step parent ni kana kwamba unakuja kumpunguzia mtoto attention aliyokuwa anapata toka kwa mzazi wake; jiandae kisaikolojia, na muombe Mungu hekima sana; unaweza ukaiacha ndoa hivihivi.
 
Ujue namimi najiuliza kama wewe, haya mambo yanaendaje? Ndiyo maana nikakuuliza ingekuwa ni wewe ungemuacha mtoto wako mazima kwa mwanaume mwingine? I wish tungepata ka-testimony

Paragraph ya mwisho imeniwazisha mweeh. Imagine baba mzazi ana ndoto za mtoto wake asome Feza labda, afu mama alipoolewa kule baba uwezo wake ni St Mary's maybe; ndiyo yale kila mtoto atakwenda shule kutokana na uwezo wa baba yake au?

Mind you yule ni mtoto wake, ana ndoto juu ya mtoto wake na ana uwezo wa kuzitimiza; je azikatishe na kukaa chonjo kisa mtoto anaishi kwenye paa ya mwanaume mwingine? (Naongelea kwenye situation ambazo maybe ni salama zaidi mtoto kukaa na mama, imeshindikana kukaa na baba). Au kwa single mom with multiple baby daddies, na kila baba anahudumia mtoto wake kwa uwezo wake.

Labda tunapishana mitazamo...

Najaribu tu kufikiri, inakuaje mwanaume ana mtoto na anaishi chini ya dari ya nyumba ya mwanaume mwingine, halafu kitu pekee anachofanya ni kutuma hela za matumizi/ada n.k

Yaani mwanaume mwingine ampe chakula, malazi na malezi, halafu baba mzazi ujifanye upo responsible kwa kutoa fedha sijui ya matumizi...

Kama mwanamke umeamua kuolewa ilihali una mtoto, ni vyema huyo anayekuoa apende ua na boga lake, hiyo itajenga heshima na kuleta maana nzima ya familia...

Hii ni sawa mwanamke umeolewa na wanaume wawili wenye majukumu tofauti
 
Habari wakuu,
Hapa nakusudia mwanamke mwenye mtoto ambaye si wako, Mtoto ambaye kwa kiasi kikubwa bado anahitaji ukaribu na mama yake.

Nimeshuhudia ndoa ya Jirani yangu ikiyumba baada ya mtoto wa miaka takribani miwili na nusu au mitatu Kuletwa nyumbani na mkewe kwani wamekaa wastani wa miezi 3 bila ya mtoto huyo kuwepo.

Tatizo ninaloliona ni utundu wa huyo mtoto ambao wakati mwingine unasababishwa na kudekezwa na mama yake.

Mfano siku moja aliiburuza chini Iphone ya baba yake mlezi, akafokewa na baba huyo, Jambo hilo lilisababisha mama akasirike kwa madai kuwa baba hampendi mtoto.

Je changamoto gani nyingine za kuoa mwanamke mwenye mtoto mdogo?

Kuwa mume kwa mama mwenye watoto wa baba mwingine ni maamuzi yako mwanaume. Kama aliona mahusiano ya awali yamekufa na historia hiyo haimuumizi na akaona huyo ni mke bora kwake basi achukue jukumu lake kama mume kumuelekeza mkewe vile anataka familia yake iwe, ikiwa ni pamoja na watoto wao kuishi kwa taratibu na sheria ya nyumba yao.

Mtoto mdogo hawezi kuwa changamoto ya kulalamikiwa hivi, maana hata sasa wakijaaliwa watapata mtoto mwingine pamoja.... sasa najiuliza huyo nae akiwa mtundu watakuja kukulamikia!? Labda kama huyo mwanaume anahitaji mwanamke tuu ila hahitaji mtoto.

Na juu ya yote kama mtoto wa huyo mwanamke ni kero kwako usimuoe sababu huyo ndio mama yake. Mbona wanawake wasiokua na watoto wako wengi tuu, achague kundi hilo aoe






Labda tunapishana mitazamo...

Najaribu tu kufikiri, inakuaje mwanaume ana mtoto na anaishi chini ya dari ya nyumba ya mwanaume mwingine, halafu kitu pekee anachofanya ni kutuma hela za matumizi/ada n.k

Yaani mwanaume mwingine ampe chakula, malazi na malezi, halafu baba mzazi ujifanye upo responsible kwa kutoa fedha sijui ya matumizi...

Kama mwanamke umeamua kuolewa ilihali una mtoto, ni vyema huyo anayekuoa apende ua na boga lake, hiyo itajenga heshima na kuleta maana nzima ya familia...

Hii ni sawa mwanamke umeolewa na wanaume wawili wenye majukumu tofauti


Mwanamke mwenye mtoto anapoamua kuingia kwenye mahusiano/ndoa na mwanaume mwingine ajihakikishie nafsini kwake kwamba kamwe hawezi kurudi kwenye mahusiano na yule mwanaume wa awali kwa namna yoyote ile.

Ila pia ni vizuri mwanaume anayeingia kwenye mahusiano na mwanamke aliyewahi kuwa na mahusiano yaliyozaa mtoto ajihakikishie sababu zilizowafanya wawili hao kuachana ni sababu za msingi kabisa na ajiridhishe kwamba wameachana kweli. Pia katika swala la mtoto kuwe na uwazi kwamba baba mzazi anahusika kwenye malezi au hahusiki kabisa!?

Habari ya mwanamke kuwa na mwanaume mwingine huku halafu akawa na mawasliano na mwanaume waliyekwisha kuachana hayana afya kwenye mahusiano kabisa

Mwanamke ukiamua fanya maamuzi na kusimama na maamuzi yako

Uaminifu ni kitu kikubwa mno kwenye maisha
 
Back
Top Bottom