kilambimkwidu
JF-Expert Member
- Jul 21, 2017
- 6,097
- 7,199
Daaah imeniuma kama ni mimi vileKarogwa muache atakuja kulia [emoji23][emoji23][emoji23]ikifika father's day atampost yul jamaa ake [emoji23][emoji23]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Daaah imeniuma kama ni mimi vileKarogwa muache atakuja kulia [emoji23][emoji23][emoji23]ikifika father's day atampost yul jamaa ake [emoji23][emoji23]
Duh![emoji86][emoji86][emoji86][emoji86]Baba wa mtoto amefariki?
Kama ni mzima atarndelea kupasha kiporo kwa hiyo jiandae kisaikolojia kabisa!
Ni wanawake wachache sana wanaoweza kuwakatalia mbususu wazazi wenzao!
Jiandae kulazimishwa kumhudumia mtoto kama vile wewe ndio uliyechangia mbegu na kumpenda kilazima!
Mapenzi yote na akili zote za mama zinakuwa kwa mtoto sio wewe!
Hivi kweli una shida gani mpaka uende kuparamia wanawake wenye watoto na uweke ndani?
Usiombe kukutwa na bwana pepsi!
Tumechoka kuwalelea kama vipi mlee wenyewe sio mnajua kujaza mimba tu kwangu mm haipo ukimwacha na mtoto hesabu huna chako hata ufanyejeKwanini utake mtoto amsahau baba yake? Ili iweje sasa?
Evelyn wa Munyu Sisi kaka zako hatuna cha kukulipaHawaachanagi hao kwa kisingizio cha mtoto, wengine wanaendaga mbali kwa viujinga vya kuitwa co-parenting, kuwa na mahusiano na mtu mwenye mtoto ni sawa upo na mpenzi wa mtu.....we kama unaweza kumuacha muache tu
Mi sina pesa na naoa asiyezaa 😅Ukiwa huna pesa utaoa aliyezaa maana nae hana option ukiwa nazo unapata binti mbichi kabisa hata bikra unaoa.
Kwahio unataka ule both team sio yani ya bara unayataka na ya pwani unataka😅Anahudumia mwanae sio mimi.
Unatumia kinywaji gani mkuu?Kuishi Na mwanamke mwenye mtoto au asiye Na mtoto yote ni sawa,
Itategemea Na mwanaume anataka akili yake iwaze Nini,
Ila tambua wanawake ni kama watoto ukiwajulia Wala hawakupi shida,
Wahi kumsoma mwanamke unayetaka kuishi Naye kabla yeye hajakusoma!
KUOA MWANAMKE MWENYE MTOTO NI DHAMBI
Naomba yasije kunikuta
Usikariri ndugu wanaachana vizuri kabisaKama waweza epusha kuishi na mtu Mwenye mtoto Ni Jambo gumu Sana, wazazi kuachana kabisa Ni ngumu Sana, labda mjane
BOND INAKUWEPOUsikariri ndugu wanaachana vizuri kabisa
Mimi sikuli, ni mwanae anakula[emoji1787]Kwahio unataka ule both team sio yani ya bara unayataka na ya pwani unataka[emoji28]
Mtoto si ndio Viza yenyewe 😅 akituma laki 4 yote unampa mtoto kwani😅Mimi sikuli, ni mwanae anakula[emoji1787]
Ndiooooo! Si kila nifanyacho ni kwaajili yake jamani[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Mtoto si ndio Viza yenyewe [emoji28] akituma laki 4 yote unampa mtoto kwani[emoji28]
Aah kusuka na kununua viwalo kwa Frank Knows ni kwa ajili ya mtoto sio😅Ndiooooo! Si kila nifanyacho ni kwaajili yake jamani[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Aah we acha hizo, akutane nayo ukubwani hiyo vipi?
Si ndio jamani, mtoto anajisikia raha mama yake nikipendeza[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji85]Aah kusuka na kununua viwalo kwa Frank Knows ni kwa ajili ya mtoto sio[emoji28]
Sawa sawa 😅😅😅😅😅 tuendelee kunawa mikono na kuvaa barakoaSi ndio jamani, mtoto anajisikia raha mama yake nikipendeza[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji85]