Changamoto, Hofu na Uchamungu

Changamoto, Hofu na Uchamungu

Ahmras

Member
Joined
Sep 26, 2017
Posts
34
Reaction score
22
Salamu kwenu wana JF, aomba kuuliza kitu wanajamvi,

Ni kipindi gani mtu anapenda kuwa karibu na Mungu kati ya hivi vifuatavyo? Yaani anapenda kusikiliza nyimbo za dini na kusifu, anaswali sana, kufanya toba na ibada, anasoma Biblia au Quran mno;

1. Akiachwa ama kusalitiwa na mpenzi au mwanandoa wake?
2. Akiwa hana pesa na dhiki zimemuandama?
3. Akiwa amefanya mapenzi na mtu asiyejua afya yake na hakutumia kinga?
4. Akiwa amefiwa na mtu wake wa karibu kama mzazi, mwanandoa, mtoto, ndugu ama rafiki?

Kwasisi binadamu wa zama hizi ni wapi wengi wetu tunapitia humo.
 
Salamu kwenu wana Jf. Naomba kuuliza kitu wanajamvi.
Ni kipindi gani mtu anapenda kuwa karibu na mungu kati ya hivi vifuatavyo. Yaani anapenda kusikiliza nyimbo za dini na kusifu. Anaswali sana, kufanya toba na ibada. Anasoma bible au Quran mno.
1. Akiachwa ama kusalitiwa na mpenzi au mwanandoa wake?
2. Akiwa hana pesa na dhiki zimemuandama?
3. Akiwa amesex na mtu asiyejua afya yake na hakutumia kinga?
4. Akiwa amefiwa na mtu wake wa karibu kama mzazi, mwanandoa,mtoto, ndugu ama rafiki?.
Kwasisi binadamu wa zama hizi ni wapi wengi wetu tunapitia humo.
 
Mi sipo kati ya hizo ila nikiwa sina furaha....napenda zaidi kupata faraja kupitia gospel na kusoma maandiko
Sawa poa.
Ni njia nzuri pia hiyo kujifariji.
Kuna ile gospel ya Martha Mwaipaja. Nadhani unaijua faraja yake.
 
Salamu kwenu wana Jf. Naomba kuuliza kitu wanajamvi.
Ni kipindi gani mtu anapenda kuwa karibu na mungu kati ya hivi vifuatavyo. Yaani anapenda kusikiliza nyimbo za dini na kusifu. Anaswali sana, kufanya toba na ibada. Anasoma bible au Quran mno.
1. Akiachwa ama kusalitiwa na mpenzi au mwanandoa wake?
2. Akiwa hana pesa na dhiki zimemuandama?
3. Akiwa amesex na mtu asiyejua afya yake na hakutumia kinga?
4. Akiwa amefiwa na mtu wake wa karibu kama mzazi, mwanandoa,mtoto, ndugu ama rafiki?.
Kwasisi binadamu wa zama hizi ni wapi wengi wetu tunapitia humo.
Itapendeza kama pia tutasema mambo mengine ambayo tunajikuta tukiyafanya basi mtu moja kwa moja anajiweka karibu na Mungu, sala sana, toba sana.
Maana mimi nimetaja machache tu ila kiuhalisia yapo mengi tunapitia zaidi ya hayo.
 
Mi sipo kati ya hizo ila nikiwa sina furaha....napenda zaidi kupata faraja kupitia gospel na kusoma maandiko
Na tena sio huna Furaha kwa sababu furan ya kidunia. Hapana.

Kuna kukosa furaha au kuingiwa kwa Hofu kama Alarm kutoka kwa Mungu, kwamba kuna kitu kinatakiwa kifanyike au kuna jambo linakuja, so you need to take some precautions may be au ni jambo zuri linakuja.

Kukosa furaha kwa namna hiyo ni njia moja wapo ya Mungu hutumia kumshitua binadamu bila kuongea nae jambo lolote.
 
Back
Top Bottom