Mwachiluwi
JF-Expert Member
- Mar 10, 2022
- 25,258
- 48,589
Hellow Africa 🌍
Tanzania kubwa lakini pia tuna viongo ambao tumewachagua kutoka kwenye jamii zetu kwa namna moja wanapatia na nyingine wanakosea.
Je, kwako wewe katika eneo lake unalo is ishi au kwenu ulikozaliwa changamoto kubwa ni nini?
Mimi kwangu ni barabara ni changamoto kubwa kutoka mbalizi mpaka unafika makongorosi unakula vumbi la kutosha kiasi kwamba unajuta kwenda nyumbani kusalimia na mbunge yupo.
Kwa upande wako vipi?
Tanzania kubwa lakini pia tuna viongo ambao tumewachagua kutoka kwenye jamii zetu kwa namna moja wanapatia na nyingine wanakosea.
Je, kwako wewe katika eneo lake unalo is ishi au kwenu ulikozaliwa changamoto kubwa ni nini?
Mimi kwangu ni barabara ni changamoto kubwa kutoka mbalizi mpaka unafika makongorosi unakula vumbi la kutosha kiasi kwamba unajuta kwenda nyumbani kusalimia na mbunge yupo.
Kwa upande wako vipi?