Changamoto katika kukata tiketi mechi ya Simba na Yanga 08/05/2021 uwanjani

Changamoto katika kukata tiketi mechi ya Simba na Yanga 08/05/2021 uwanjani

mmh

JF-Expert Member
Joined
Nov 9, 2010
Posts
2,910
Reaction score
5,084
Watu wengi washafika uwanjani lakini wakatisha tiketi wanaonekana ndani na machine zao lakini Wala hawataki kutoa huduma.

Je, huu sio uhujumu uchumi? Serikali mnataka mapato gani zaidi ya haya?

Yaani uwezo wa serikali kusimamia utaratibu ndo umefika mwisho? Kwanini watumishi hawajali watu? Ile nidhamu ya watumishi iliyokuwepo nayo imeanza kutoweka? Hili nalo mama anasemaje? Mnaenda kulilia wakenya waje kuwekeza mpate kodi huku zipo fursa mnaziignore kabisa?! Nchi hii iko serious kweli?

Au ndo Ile Ile one man show.

Uhuru wa habari uko wapi mbn habari hizi hawareporti?
 
Kidimbwi fc relax,kipigo kipo pale pale,kupitia Tigo Pesa ni rahisi zaidi mkuu 😀 😀
 
Acha uongo tiketi zinauzwa kama kawaida, usilete siasa ktk mpira wa miguu
 
Watu wengi walidamka asubuhi kabla ya kwenda vibaruani hawakua wamejipanga vyema asubuhi. Kuhusu uanachama Mimi ni mnyama tena mwenye kadi sio wale kelele mingi huku hamtambuliki kwenye mfumo rasmi nyie vipi bana.
 
Acha uongo tiketi zinauzwa kama kawaida, usilete siasa ktk mpira wa miguu
Huyu jamaa nawasiwasi kama hata uwanja anaujua? Kakarishwa majibu.
 
Back
Top Bottom