Changamoto kwenye maombi ya ajira Mfumo wa TAMISEMI upande wa Afya na Elimu

Changamoto kwenye maombi ya ajira Mfumo wa TAMISEMI upande wa Afya na Elimu

Cheology

JF-Expert Member
Joined
Jun 25, 2022
Posts
384
Reaction score
601
Mfumo umefunguka vizuri. Ninaingiza taarifa vizuri. Kwa nini sehemu ya kuingiza namba ya NIDA nikibofya inazunguuka muda mrefu haiendeleei?

Msaada wanaujua hili suala.
 
IMG-20240409-WA0000.jpg
 
Back
Top Bottom