Changamoto na Ubora wa wanawake wa Rufiji (Wandengereko)

Changamoto na Ubora wa wanawake wa Rufiji (Wandengereko)

Habari zenu wakuu.

Niende kwenye mada kabisa.

Kuna ndugu yangu yeye ni mjasiriamali anaishi Dar es Salaam
Katika pilika za maisha kakutana na binti wa Kindengereko kutoka Rufiji ila naye anaishi Dar.

Jamaa amevutiwa na binti kwa mwonekano wa nje kama vile mavazi ya binti ni ya heshima na kujisitiri sana,
Kutii yale anayomwelekeza na lugha nzuri katika mazungumzo.

Wamefahamiana kwa miezi miwili,
Na ndugu kapata fikra za kumtambulisha binti kwao
Naye kwenda kutambulishwa kwa binti
Ili wakijaaliwa waje waoane.


Lengo la Uzi:
Kwa wenyeji au wanaowafahamu wanawake wa Hii Jamii wataje changamoto zao na ubora wao ili jamaa ajiandae ama kukabiliana au kukubaliana nazo.

Karibuni.
Mleta mada tunaomba mrejesho mkuu
 
Ubora wao uko kwenye mapenzi kitandani tu, ila changamoto yao, ni ngumu kuishi naye mikoa mingine tofauti na dar, lindi, pwani na mtwara, kwani ni lazima aishi mikoa hiyo ambako kuna wenzake kwani kila siku ni shughuri tu, lazima ahudhurie. Ukimpeleka mbali ataishi kama yupo guantanamo prison, hivyo hawezi, kwani makabila mengine hayo hawana, pili kila leo atatakiwa kwenda kwao kuhudhuria ngoma na ni lazima, bora auze kabati apate nauli, sasa awe huko MUGUMU, kweli si utamtesa?

Kingine wao inshu ya kuachika wala haimtishi hata, kwanza kuachika sana kwao ndio anaonekana PROFESA, MWANDAMIZI, na ni sifa kwa jamii yake iliyotukuka!! Na cha mwisho wao bwana kuwa na wanaume watatu kwa wakati mmoja ni kawaida tu na hana wivu ki vile kwa mme wake. Nimeishi nao huko utete rufiji hiki ninachokiongea nakijua hasa, ila una weza jilipua tu, huwezi jua labda inaweza kuwa ndio ile %inayobakia ya kutimiza kitu kizima. 0.1.
Exactly 100%. Kazi hawaimalizi hata ukumwajili yeye ataomba ruhusa kwenda kwenye shughuli yaani hao ni noma sana kwa hayo mambo.
1. Wamwera
2. Wandengereko
3. Wamatumbi
4. Wangindo
5. Wamakonde
6. Wazaramo
7. Wakwere
Kwa mambo ya shughuli usiombe, ni lazima ahudhurie
 
Exactly 100%. Kazi hawaimalizi hata ukumwajili yeye ataomba ruhusa kwenda kwenye shughuli yaani hao ni noma sana kwa hayo mambo.
1. Wamwera
2. Wandengereko
3. Wamatumbi
4. Wangindo
5. Wamakonde
6. Wazaramo
7. Wakwere
Kwa mambo ya shughuli usiombe, ni lazima ahudhurie
Kwa maana nyengine Pwani ni pakukimbia sio?.
 
Exactly 100%. Kazi hawaimalizi hata ukumwajili yeye ataomba ruhusa kwenda kwenye shughuli yaani hao ni noma sana kwa hayo mambo.
1. Wamwera
2. Wandengereko
3. Wamatumbi
4. Wangindo
5. Wamakonde
6. Wazaramo
7. Wakwere
Kwa mambo ya shughuli usiombe, ni lazima ahudhurie

Watoe Wamakonde waweke Wamakua 😂
 
Mdogo wangu ameoa Mndengereko...yule shemeji hana tabia za ngomani.
 
Ubora wao uko kwenye mapenzi kitandani tu, ila changamoto yao, ni ngumu kuishi naye mikoa mingine tofauti na dar, lindi, pwani na mtwara, kwani ni lazima aishi mikoa hiyo ambako kuna wenzake kwani kila siku ni shughuri tu, lazima ahudhurie. Ukimpeleka mbali ataishi kama yupo guantanamo prison, hivyo hawezi, kwani makabila mengine hayo hawana, pili kila leo atatakiwa kwenda kwao kuhudhuria ngoma na ni lazima, bora auze kabati apate nauli, sasa awe huko MUGUMU, kweli si utamtesa?

Kingine wao inshu ya kuachika wala haimtishi hata, kwanza kuachika sana kwao ndio anaonekana PROFESA, MWANDAMIZI, na ni sifa kwa jamii yake iliyotukuka!! Na cha mwisho wao bwana kuwa na wanaume watatu kwa wakati mmoja ni kawaida tu na hana wivu ki vile kwa mme wake. Nimeishi nao huko utete rufiji hiki ninachokiongea nakijua hasa, ila una weza jilipua tu, huwezi jua labda inaweza kuwa ndio ile %inayobakia ya kutimiza kitu kizima. 0.1.
Wadada wengi wa Ikwiriri ni wadangaji mkuu,anaweza kwenda kudanga kisa kutafuta pesa ya shughuli
 
Back
Top Bottom