Changamoto na Ubora wa wanawake wa Rufiji (Wandengereko)

Mleta mada tunaomba mrejesho mkuu
 
Exactly 100%. Kazi hawaimalizi hata ukumwajili yeye ataomba ruhusa kwenda kwenye shughuli yaani hao ni noma sana kwa hayo mambo.
1. Wamwera
2. Wandengereko
3. Wamatumbi
4. Wangindo
5. Wamakonde
6. Wazaramo
7. Wakwere
Kwa mambo ya shughuli usiombe, ni lazima ahudhurie
 
Kwa maana nyengine Pwani ni pakukimbia sio?.
 

Watoe Wamakonde waweke Wamakua 😂
 
Mdogo wangu ameoa Mndengereko...yule shemeji hana tabia za ngomani.
 
Wadada wengi wa Ikwiriri ni wadangaji mkuu,anaweza kwenda kudanga kisa kutafuta pesa ya shughuli
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…