Changamoto Wakulima wa Morogoro

Changamoto Wakulima wa Morogoro

Star onair

Senior Member
Joined
May 31, 2020
Posts
144
Reaction score
145
Habari zenu ndugu zangu,

Ni wiki ya pili sasa nimeshindwa kutoa mzigo shambani milimani kutokana na mvua zinazoendelea kunyesha.

Wenye fuso wanagoma kwa kuogopa kudondosha gari.

Nami ni lazima nahitaji Kusafirisha haya mzao town coz bei ipo juu now.

Wenye uzoefu embu nisaidieni ushauri.
 
Wataalamu wa MOROGORO wana kuja ngoja waje watupe uzoefu hapa.
 
Kodi powertiller ziusombe mpk steshen upakie kwny treni
 
Pole kwa changamoto mkuu,unalimia wapi ili nikupe a na b kwa ukanda husika wa uluguru
 
Back
Top Bottom