plumber hydrogen
JF-Expert Member
- Feb 17, 2022
- 881
- 1,537
Habari zenu ndugu zangu wa JF..Leo tuangalie sababu zinazo pelekea choo kupata pindi tu kinapo anza kutumiaka
1.Kununua choo kilicho na ubora mdogo hapa ata ukifanyie usafi vipi choo lazima kishike kutu na kubabdilika rangi unapo fanya maamuzi ya kununua choo hakikisha umenunua choo imara kuepukana na kadhia hiyo..
2.Kutumia kemikali kali kuna baadhi ya watu utumia choo kufulia,kuogea au kufanya matumizi mengine nje ya yale ya kawaida..Kemikali kama jiki n.k uondoa ubora wa choo kwa kwa kiasi flani..
3.Kuto fanya usafi mara kwa mara japo hii sio sababu kubwa endapo choo kina ubora ila kama hakina ubora fanya usafi mara kwa mara...
NB Weka mazingira ya choo safi kwa mda wote kuepuka magonjwa...
1.Kununua choo kilicho na ubora mdogo hapa ata ukifanyie usafi vipi choo lazima kishike kutu na kubabdilika rangi unapo fanya maamuzi ya kununua choo hakikisha umenunua choo imara kuepukana na kadhia hiyo..
2.Kutumia kemikali kali kuna baadhi ya watu utumia choo kufulia,kuogea au kufanya matumizi mengine nje ya yale ya kawaida..Kemikali kama jiki n.k uondoa ubora wa choo kwa kwa kiasi flani..
3.Kuto fanya usafi mara kwa mara japo hii sio sababu kubwa endapo choo kina ubora ila kama hakina ubora fanya usafi mara kwa mara...
NB Weka mazingira ya choo safi kwa mda wote kuepuka magonjwa...