Changamoto ya COVID19: Madereva wa Tanzania wazuiwa kuingia Kenya

Changamoto ya COVID19: Madereva wa Tanzania wazuiwa kuingia Kenya

Madereva wa magari zaidi ya 50 wa Tanzania wamezuiwa kuingia Kenya katika mpaka wa Namanga hadi hapo watakapopimwa kujua kama wana maambukizi ya CoronaVirus

Taarifa zaidi inafuata.....
Wanapimia hapo mpakani au wanatakiwa waje na uthibitisho kwamba wamepima?

Kama wanapima hapo mpakani basi hawajazuiwa bali wametakiwa kufuata taratibu nzuri za nchi hiyo za kupima afya kabla hawajaingia huko.
 
Tanzania hakuna corona ni mabeberu tu wanataka kutuchafua. Kwa weledi mkuu wa rais wetu amepima mapapai pia yana corona.
... kwamba kwa Tanzania binadamu hawana corona; chenye corona ni mapapai, mafenesi, na mbuzi! Ha ha ha! Hii sayansi ya hali ya juu kabisa ya kitabibu hata WHO hawaoni ndani.
 
Sijui amewapa Nini huyuu mzee at akiwaambia wavue nguo watavua tu. Nimeamini uchawi upo.
nyie si mmejiaminisha kuwa Jiwe yupo huko alipo kujificha na CORONA wakati mwenzenu yupo kwenye mapango anapigwa chale mzidi kumsikiliza. SIku atakayotia maguu pale mji wa kati wa nchi kuvunja kikao cha vibaraka mtasikia cheche atakazotema na wote tutampigia makofi. Ndumba ipo na sasa hivi inadhihirika.
 
Mkuu aongee na wenzake wa East Africa tupate suluhu, kushupaza shingo mwisho wa siku itavunjika
Siku hizi ameshindwa kuwa mkuu wa nchi, amekuwa zaidi mkuu wa kijiji chake. Hayo ndio madhara ya kutokuchukua hatua za kitaalamu na kupenda kufanya mambo kienyeji enyeji. Tusifanye makosa uchaguzi 2020.
 
Itakuwa wa atekeleza maazimio ya SADC, sijui kama kile kikao cha EAC kilichoshindikana kilifanyika au LA.
 
ila ukisikiliza misimamo ya viongozi wengi wa nchi za africa,hapa ndipo utajua ni kwanini hata uhuru haukupatikana kwa pamoja.

yaani mtu anazuia madereva wa tz,halafu wa nchi nyingine anaruhusu.ngozi nyeusi ina laana ya asili,ndio maana tukasema lockdown haiwezekani huku shithole.
 
Back
Top Bottom