Changamoto ya COVID19: Madereva wa Tanzania wazuiwa kuingia Kenya

Changamoto ya COVID19: Madereva wa Tanzania wazuiwa kuingia Kenya

ila ukisikiliza misimamo ya viongozi wengi wa nchi za africa,hapa ndipo utajua ni kwanini hata uhuru haukupatikana kwa pamoja.

yaani mtu anazuia madereva wa tz,halafu wa nchi nyingine anaruhusu.ngozi nyeusi ina laana ya asili,ndio maana tukasema lockdown haiwezekani huku shithole.
Hawajazuiwa kuingia, ila utaratibu ni kupima corona kabla ya kuingia kama inavyo fanyika Mtukula na Busia. Waswahili wengi hatujui kujieleza matokeo yake tuna potosha taarifa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Madereva wa magari zaidi ya 50 wa Tanzania wamezuiwa kuingia Kenya katika mpaka wa Namanga hadi hapo watakapopimwa kujua kama wana maambukizi ya CoronaVirus

Taarifa zaidi inafuata.....
Nyie watu mna matatizo ya kisaikolojia...wamezuiwa au wametakiwa wapimwe? Je sisi kwenye airports zetu tunafanyaje? Nataka nitumie neno Fulani kuwaeleza nyie wapiga kelele na waropokaji ila najizuia...Watanzania wengine ni watu wa ajabu mno...Nina hakika mngekuwepo wakati wa Vita vya kagera ni wazi mngeiuza nchi...
 
Suluhu ya nini?
Waingie bila kupimwa wakaambukize huko?
Kama huku hawapimwi wacha wapimiwe huko wanakoenda.
Kuna muda kulea mtoto ni jukumu la jamii sio wazazi peke yao
Kila anayeingia anapaswa kupimwa, ila it seems Baba Jurgen haongei na wenzake kujua hatua zilozochukuliwa ama zinazopaswa kuchukuliwa, so apokee simu wazoze.
 
Nyie watu mna matatizo ya kisaikolojia...wamezuiwa au wametakiwa wapimwe? Je sisi kwenye airports zetu tunafanyaje? Nataka nitumie neno Fulani kuwaeleza nyie wapiga kelele na waropokaji ila najizuia...Watanzania wengine ni watu wa ajabu mno...Nina hakika mngekuwepo wakati wa Vita vya kagera ni wazi mngeiuza nchi...
Povu kamasi la nn
Mzee mbn unalialia
Hebu tulia kunywa maji nawa mikono
Pakaa sanitizer, alaf urudi tena

Ova

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tanzania hakuna corona ni mabeberu tu wanataka kutuchafua. Kwa weledi mkuu wa rais wetu amepima mapapai pia yana corona.
Tanzania ni nchi ya Kwanza duniani kuitokomeza Corona Kwa njia ya maombi ya siku3
 
Sasa mnataka magufuli afanye nini.?.
kama wameamua kufunga mipaka yao wafungeee.
Sioni haja ya kuhangaika hao viongozi kumpigia simu magufuli.
1.kenya funga mipaka yako na Tanzania
2.uganda funga mipaka yako na Tanzania.
3.Rwanda funga mipaka yako na Tanzania
4.zambia funga Mipaka yako na Tanzania.
kila mtu akae kwake alafu tuone NANI ATAUMIA.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ni kweli kulingana na mitazazamo ya wengine, tungali ktk enzi ya giza [mediaeval period].
 
Madereva wa magari zaidi ya 50 wa Tanzania wamezuiwa kuingia Kenya katika mpaka wa Namanga hadi hapo watakapopimwa kujua kama wana maambukizi ya CoronaVirus

Taarifa zaidi inafuata.....
Mpaka hapo hakuna tatizo kabisa! Sidhani kama kuna mtu anategemea katika mazingira ya sasa mtu ajipitie tu bila kupimwa. Hata sisi wakija kwetu madreva wa kenya na watu wengine watapimwa kwanza ndio waruhusiwe kutokana na majibu!! Ujirani mwema mpaka hapo haujapata dosari!!
Dosari ingekuja kama wangezuiliwa na bila kupimwa!!
 
Back
Top Bottom