Asante unakuwa na portfolio au SiyoUkioa mfanyakazi unapata diversification of mbususu... unakuwa na uhuru wa kuzichakata muda wowote hata beki tatu akikaa sawa unapita nae kama kipanga.
Chakula kizuri utaenda kula kwa Esha Buheti.
Kuchapiwa ni hulka ya mwanamke, hata ukimlinda kama akuheshimu basi atatafunwa tu
Kidole kimoja hakivunji chawa lo.
Tena mkizichanga mukawa na mali nyingi ujiandae kutangulizwa ili akae ajitanue na waenda gym Yan Sasa umekuwa hatari sanaHuu ni ukweli mtupu
Na kwenye semina.
Mia,mia tunaendekeza sana ngono,wenzetu wachina wanakaa miaka bila kuwa na familia,sisi wiki visingizio kibao.Mwanaume ukiwa busy na kazi zako hutakaa uwaze kuhusu Morning glory.
Sio kila mwanamke anacheza vikoba mzee. Unayokutana nayo wewe anaweza asikutane nayo mwingine. Usipende sana generalization.Mkuu, aache kuwaza Vicoba
Uzi ulitakiwa uishie hapa.Kataa ndoa π
Kweli mkuu, umenena pointI hate to sound different ila insecurities zinaua kuliko hata realities zenyewe. Me nachoona kama ukioa la 7B na unaona it works for you, go for it na kama una corporate lady na it works for you too, go for it. Msikubali kushikiwa akili na experience za watu wengine. Kila mtu ana face realities zake at its own na kwa muda wake.