To yeye
JF-Expert Member
- Oct 4, 2022
- 35,686
- 86,968
Inaumuhimu Sana yaan....yaan sanaaMwanaume ukiwa busy na kazi zako hutakaa uwaze kuhusu Morning glory.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Inaumuhimu Sana yaan....yaan sanaaMwanaume ukiwa busy na kazi zako hutakaa uwaze kuhusu Morning glory.
Duh!!! Mkuu ushahidi unao??
Shauri yaoNashangaa wanaichukulia poa
😅😅😅😅Tena mkizichanga mukawa na mali nyingi ujiandae kutangulizwa ili akae ajitanue na waenda gym Yan Sasa umekuwa hatari sana
Anazungumzia wazungu walomfilisi Emanuel Ebou na hata yule muIvory Coast kwa sheria zao kandamizi, wazungu ambao baba unaletewa mume na mwanao wa kiume anakuambia mchumba wake na wanafeel good tu.Anatuletea uzungu mwingi
Tuna values zetuAnazungumzia wazungu walomfilisi Emanuel Ebou na hata yule muIvory Coast kwa sheria zao kandamizi, wazungu ambao baba unaletewa mume na mwanao wa kiume anakuambia mchumba wake na wanafeel good tu.
Tuache ujinga wa kucopy eti kwa kigezo kafanya mzungu huo ni UKOLONI WA FIKRA
Mimi mmewangu hapendi mtu wa kukaa nyumbani tu,wengine sijui.binafsi naishi maisha hayo na naona poa tuYasemwayo unaonaje mkuu [emoji23][emoji23]jibu lako neutral
Kwenye maisha chief, hakuna kinachoshindikana, wengi wetu tunafungwa na mapokeo ya kijamii, mafundisho, kwamba mke lqzima afanye hv au vile, akifanya tofauti,ni kosa,inabidi atiwe makofi!Mkuu vipi kwa mfanyabiashara?? Unaona sawa wanao kunywa maziwa ya unga??
Kwani Afrika, hakuna wazungu? Chief! Umezaliwa wapi bro! Au mjini umekuja jana?Kumbe umeishi na wazungu mkui? Yani unaongelea wazungu wakati upo bara la afrika? We mwehu kweli aisee.
InategemeaUmesahau kuchapiwa kuko nje nje.
Kama mke ni malaya utachapiwa tu hata ukioa mama wa nyumbani atachapwa hata na bodaboda au muuza mbogambogaUmesahau kuchapiwa kuko nje nje.