Hayajawahi kukutaUlisikia wapi kuangamiza viumbe wasio na hatia?
Acha kumwaga sukari na usafishe nyumba watahama wenyewe.
hayajawahi kukuta
mimi nilikua mhanga wa hao sisimizi nilitafta akheri powder aah sikuona hata mmoja akikatiza hawatokani na kumwaga sukari wala kuweka mazingira ktk hali ya uchafu tena nikaapo wanatoka chini unaona mshororo mrefu mwekundu wa hao wadudu wanakera mno na wanag'ata
Hayajawahi kukuta
Mimi nilikua mhanga wa hao sisimizi nilitafta akheri powder aah sikuona hata mmoja akikatiza hawatokani na kumwaga sukari wala kuweka mazingira ktk hali ya uchafu tena nikaapo wanatoka chini unaona mshororo mrefu mwekundu wa hao wadudu wanakera mno na wanag'ata
Mwaga majivuUlisikia wapi kuangamiza viumbe wasio na hatia?
Acha kumwaga sukari na usafishe nyumba watahama wenyewe.
Niliwahi kukuambia naishi huko??Mkuu si unaishi ghorofa ya Saba, walifika huko??
Siafu ni wakubwa kias hao sisimizi ni vidogo vyekunduWanaitwa siafuu
Usiombe wakushambulie makende utajuta πTena wanang'ata vibaya kama nini
Usiombe wakushambulie makende utajuta πTena wanang'ata vibaya kama nini
Unawaza makende tuUsi
Usiombe wakushambulie makende utajuta π
Unaongelea wadudu wekundu ukimaanisha siafuImekua kero sasa, maana hawa wadudu wanasumbua sana.
Je nitumie dawa gani, kuondoa uwepo wao au kuwaangamiza
Sisimizi wale wadogoUnaongelea wadudu wekundu ukimaanisha siafu