Changamoto ya system ya TAMISEMI juu ya chuo cha MWENGE CATHOLIC UNIVERSITY

Annonymous

JF-Expert Member
Joined
May 9, 2013
Posts
688
Reaction score
1,126
CHANGAMOTO KATIKA SYSTEM YA AJIRA ZA TAMISEMI​

Mwenge catholic university vimeingizwa vyuo viwili hali ya kuwa kipo kimoja tu

hivyo vyuo viwili vinavyoyumia jina moja la mwenge catholic university kimoja kina course nne (4) ambazo ni
(1) ordinary diploma in holder certificate of secondary education with at least 4 passes in non-religious subject and basic technician certificate (nta 4),
(2) bachelor of education in science
(3) bachelor of arts with education na
(4) bachelor of arts (education)
MISSING: Bachelor of Education in Arts


na kingine kina course ya Bachelor of Science (Education) pekee

Kwa upande wa Arts kuna kozi mbili tu ambazo ni
(1) Bachelor of Arts (education) na
(2) Bachelor of Arts with education ambazo zote hizi zina masomo matatu (3) pekee ambayo ni

  • Geography,
  • English na
  • History
  • MISSING: kiswahili

 
Hii wasilisha dawati la mapokezi hapo TAMISEMI fasta.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…