A
Anonymous
Guest
Halmashauri ya Wilaya ya Mlimba kuna changamoto ya ufatiliaji na ulipaji wa stahiki za watumishi hasa Fedha za likizo na malimbikizo ya mishahara.
Ukifatilia kwa maafisa utumishi wanakuambia jaza fomu maalumu(unajaza) pamoja na barua za maombi lakini hayafanyiwi kazi tunapata changamoto tusaidiwe.
Ukifatilia kwa maafisa utumishi wanakuambia jaza fomu maalumu(unajaza) pamoja na barua za maombi lakini hayafanyiwi kazi tunapata changamoto tusaidiwe.