Changamoto ya Umeme yailazimu Sekondari Ya Benjamin Mkapa kununua jenereta

Changamoto ya Umeme yailazimu Sekondari Ya Benjamin Mkapa kununua jenereta

YEHODAYA

JF-Expert Member
Joined
Aug 9, 2015
Posts
36,902
Reaction score
52,001
Wakisoma Risala mbele ya Rais uongozi wa Shule ya sekondari Benjamin Mkapa wamemweleza Rais kuwa imebidi wanunue Generator sababu ya umeme Tanesco kukatika katika mara kwa mara.

TANESCO Mungu anawaona mjue.
 
Natamani kujua Rais naye amewajibu nini..
 
Umeme ni adui wa nne wa taifa!
Ngoja niwataje
Umaskini,ujinga,maradhi na Umeme

Hapo kwa mpangilio adui wa kwanza anatakiwa kuwa umeme wa Tanesco kwa sababu umeme unasababisha umaskini sababu watu wanahitaji umeme kwa shughuli zao za kiuchumi na biashara na uzalishaji viwandani, Tanesco inasababisha ujinga sababu watoto na wanavyo hawawezi soma kwa komputa au projector sababu ya umeme,

Tanesco pia wanasababisha maradhi kama Pressure nk sababu fikiria una order za wateja kiwandani zina deadline halafu unakatika au unaweka vyakula vya kuuza kwenye Fridge halafu umeme unakatika vyote vinaoza na pesa ya kununua ulikopa Vikoba au Pride au watu wanataka soda baridi umeme unakatika huuzi wanakutia hasara fremu umepanga mauzo sifuri ya soda zako baridi Pressure lazima ije

Pia siku hizo kuna zile repellant dawa za mbu ambazo zinatumia umeme kusambaratisha mbu ina maana wakikata umeme mbu wanakuvamia unapata malaria .

TANESCO pia inasababibisha vifo chukulia uko vyumba cha operation halafu umeme unakatika

Tanesco wanechangia sana kwenye hao maadui watatu yaani umaskini,ujinga na maradhi

Ni vizuri kila taasisi ya umma ijitathimini inatatuaje changamoto za maadui hao watatu umaskini,ujinga na maradhi
 
Wakisoma Risala mbele ya Rais uongozi wa Shule ya sekondari Benjamin Mkapa wamemweleza Rais kuwa imebidi wanunue Generator sababu ya umeme Tanesco kukatika katika mara kwa mara.

TANESCO Mungu anawaona mjue.
Tuliambiwa ni chagamoto ya siku 10 kumbe ni miaka 10 hatukuelewa
 
Wakisoma Risala mbele ya Rais uongozi wa Shule ya sekondari Benjamin Mkapa wamemweleza Rais kuwa imebidi wanunue Generator sababu ya umeme Tanesco kukatika katika mara kwa mara.

TANESCO Mungu anawaona mjue.
Kuna shida gan taasisi kubwa Kama hyo kununua jenereta, hospital ngapi zinajenerta, au ofisi nyingi tu za serikal zinajenerta. Ningeshangaa kma wasingekuwa na plan B ya kupta nishati na kutegemea tanesco Moja Kwa moja
 
Back then Hio shule ndio ilikuwa shule ya serikali nzuri kuliko zote

Sijui kama bado iko vile vile au imeshachakaa
 
Kuna shida gan taasisi kubwa Kama hyo kununua jenereta, hospital ngapi zinajenerta, au ofisi nyingi tu za serikal zinajenerta. Ningeshangaa kma wasingekuwa na plan B ya kupta nishati na kutegemea tanesco Moja Kwa moja
Taabu ya vikarani vya serikalini havijui biashara hata huendeshwaje

Hujui kama inaongeza gharama za kufanya biashara? Hujui kuwa hata kodi itashuka sababu ya gharama za jenereta inayotumia mafuta? Sababu hizo gharama zitahesabika kama gharama za uendeshaji hivyo mwisho wa siku si tu mfanyabiashara ataumia bali hata TRA watakusanya kidogo sababu expenditure ziko juu na product zitakazozalishwa zitakuwa juu kushindwa kuuzika sokoni na kushindwa na bidhaa toka nje ambako umeme haukatiki

Nyie vikarani serikalini hamuelewi kabisa nini kinaendelea kwenye dunia hopeless kabisa
Unaongelea ohh plan B hopeless unajua impact yake kwenye economy? Hospitali gharama za matibabu zitakuwa juu,Shule Ada zitakuwa juu nk sababu ya gharama za uendeshaji kupanda kupitia hiyo mijenereta

Umekariri mambo ya Plan B hata hauelewi real application yake na what does it mean

Umekariri tu plan B plan B
 
Taabu ya vikarani vya serikalini havijui biashara hata huendeshwaje

Hujui kama inaongeza gharama za kufanya biashara? Hujui kuwa hata kodi itashuka sababu ya gharama za jenereta inayotumia mafuta? Sababu hizo gharama zitahesabika kama gharama za uendeshaji hivyo mwisho wa siku si tu mfanyabiashara ataumia bali hata TRA watakusanya kidogo sababu expenditure ziko juu na product zitakazozalishwa zitakuwa juu kushindwa kuuzika sokoni na kushindwa kushindwa na bidhaa toka nje ambako umeme haukatiki

Nyie vikarani serikalini hamuelewi kabisa nini kinaendelea kwenye dunia hopeless kabisa
Unaongelea ohh plan B hopeless unajua impact yake kwenye economy? Hospitali gharama za matibabu zitakuwa juu,Shule Ada zitakuwa juu nk sababu ya gharama za uendeshaji kupanda kupitia hiyo mijenereta
Mbna umenga'aka sana ndugu.. Kwan wanatumia Moja kwa Moja... Ubaya uko wapi Kama iko stand by tu.
 
Ngoja niwataje
Umaskini,ujinga,maradhi na Umeme

Hapo kwa mpangilio adui wa kwanza anatakiwa kuwa umeme wa Tanesco kwa sababu umeme unasababisha umaskini sababu watu wanahitaji umeme kwa shughuli zao za kiuchumi na biashara na uzalishaji viwandani, Tanesco inasababisha ujinga sababu watoto na wanavyo hawawezi soma kwa komputa au projector sababu ya umeme,

Tanesco pia wanasababisha maradhi kama Pressure nk sababu fikiria una order za wateja kiwandani zina deadline halafu unakatika au unaweka vyakula vya kuuza kwenye Fridge halafu umeme unakatika vyote vinaoza na pesa ya kununua ulikopa Vikoba au Pride au watu wanataka soda baridi umeme unakatika huuzi wanakutia hasara fremu umepanga mauzo sifuri ya soda zako baridi Pressure lazima ije

Pia siku hizo kuna zile repellant dawa za mbu ambazo zinatumia umeme kusambaratisha mbu ina maana wakikata umeme mbu wanakuvamia unapata malaria .

TANESCO pia inasababibisha vifo chukulia uko vyumba cha operation halafu umeme unakatika

Tanesco wanechangia sana kwenye hao maadui watatu yaani umaskini,ujinga na maradhi

Ni vizuri kila taasisi ya umma ijitathimini inatatuaje changamoto za maadui hao watatu umaskini,ujinga na maradhi
HAKUNA NI UREFU WA KAMBA NA UMEME TU BASI!
 
Back
Top Bottom