KERO Changamoto ya wahitimu wa vyuo kukataliwa kuomba ajira katika mfumo wa ajira portal

KERO Changamoto ya wahitimu wa vyuo kukataliwa kuomba ajira katika mfumo wa ajira portal

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua
A

Anonymous

Guest
Kumekuwepo na changamoto kwa wahitimu kukataliwa kutuma maombi ya ajira kwa kupitia ajira portal.

Swali je wahitimu hawa wametelekezwa katika ajira au hawana vigezo, tumaomba ufafanuzi kutoka secretariat ya ajira na utumishi

Screenshot_20241023-150543.jpg
 
Back
Top Bottom