Changamoto za ajira: Nafasi 1 usaili watu 280

Changamoto za ajira: Nafasi 1 usaili watu 280

Kama interview iko chini ya usimamizi wa Secretariat ya Ajira Utumishi Nenda hata nafasi kama ni Moja, Hao utumishi wako very transparency ukipasua ujue kazi unapewa uhakika hakuna kubebana wala vimemo, Nina ushahidi post ilikuwa inataka mtu mmoja tu utumishi na waliitwa kama 80 ivi ila still bwana mdogo ninaemjua alipenya bila connection yoyote Vijana kwa sasa kila kitu mnalalamika he mfano wange sort out wachache wakaitwa we ukawa haumo still ungekuja kulia lia hapa , Hii inaitwa Survive for fittest, the only strong will survive huwezi ku battle na wenzio 200 kaa pembeni
 
Mbona wengine tumepata kupitia hizo nafasi unazoshangaa mkuu tena kuna muda mnaingia Oral 15 nafasi 2,So far jamaa wako fair enough ukikaza unapata.
 
Wanasiasi wanatusisitiza tujiajiri, ila wao wanasema tuwaajiri(tuwachague).
 
Wakuu hiki kitu kinakatisha tamaa na kinatisha sana.

Sijui serikali inaliona hili jambo na ina mipango gani ya haraka itusaide tutoke huku tulipo.

Maana tunapoelekea hili ni bomu linaendelea kujitengeneza.
TBA wametangaza majina ya vijana walioitwa kwenye usaili wa kazi mechanical engineer watu 280 nafasi mtu mmoja t anahitajika.

Yani probapility ni 0.001 kwa kila mtu, kiukweli inakatisha tamaa sana.

Serikali inabidi ituangalie na sie wakada hii ya uhandisi hali ni mbaya kwakweli. Hapo mtu unaenda kwenye usaili kichwa kinawaza vitu vingi sana hamna tumaini

Kifupi unakuwa ushafeli teyari.


KAKA nenda kapambane, akikisha unapata alama za juu, fika oral ukilalamika huku tutakuangalia tu.


STAMICO waliitaji Mecha Engineer 1 , watu walikuwa wengi ila oral walikuwa 25. kwahiyo pambana tu...

Ukiona tangazo la Mechanical technician nishtue broo
 
Back
Top Bottom