Changamoto za Ajira Portal

Changamoto za Ajira Portal

Hapana tunalimaliza hapahapa jamvini kaka. Mdogo mdogo tu ila ustoke online coz nimetenga muda wangu kwa ajili yako kiongozi.
nashukuru mkuu kwa kujali kwa hilo, nimeona hizo picha ulizotuma mkuu ila yeye ameanza kuweka advanced driving certificate alafu akafuata Ordinary level ceftificate basi hapo ni upande wa academic qualification
 
Hapo kwenye duara jekundu ndio unatakiwa ku-attach basic certificate, VIP certificate, etc

Umeweka cheti cha basic kikakataa mkuu...?
ok hapo nimeattach vizuri kabisa, tatizo hapo kulia kwenye programme category natakiwa kuchagua nini?
 
Nmejaribu kuangalia kwa makini na kuhusisha kada ya udereva na hiyo part. Nimeona zinapatana kabisa. Mfano Country itakuta Tanzania, kwenye institution name (Driving) zipo VETA na NIT Na hiyo ndo zina tambuliwa zaidi kiserikali katika masuala ya udereva.

Kwenye course name kuna Driving license na professional driving. Kwa maoni yangu hapo ni vitu viwili tofauti. Driving license simple tu, ila professional driving we umeenda mbali zaidi yani una either VIP, PSV au zingine.

Muda ulioanza na uliomaliza una weka gamba lako unasave. Kwa mi ndo nimeelewa hapo ndo sehemu sahihi.
Screenshot_20200809-121803.jpg
 
Kuna 1. Academic qualifications, 2. Professional qualifications, 3. Working and Training Experience. Hapo ni vitu kama vinaendana ila ni tofauti.

Kwenye udereva sehemu yake ni hiyo Professional qualifications. Hapo ndo utakuta maelezo na ukiweka gamba linakubali mkuu.
Ivi mm mfano nimepiga bachelor in logistics....ila pia nina chet cha driving nilichosoma mtaani tuu sio veta na nina licence. Nikiweka kweny professional taarifa za udereva kwanza naatach chet cha driving au driving licence?? Pili je natambulika kama ni professional driver au natambulika kama logistics n transport officer??

Nawaza kua isije kua naonekana nimebobea kwenye driving kumbe mm driving ni minor tuu kwaajili ya kujazia CV yangu ya career yangu ya logistics n transport officer.

Naomba majibu sorry kwa muandiko mbayaa.
 
Nmejaribu kuangalia kwa makini na kuhusisha kada ya udereva na hiyo part. Nimeona zinapatana kabisa. Mfano Country itakuta Tanzania, kwenye institution name (Driving) zipo VETA na NIT Na hiyo ndo zina tambuliwa zaidi kiserikali katika masuala ya udereva.

Kwenye course name kuna Driving license na professional driving. Kwa maoni yangu hapo ni vitu viwili tofauti. Driving license simple tu, ila professional driving we umeenda mbali zaidi yani una either VIP, PSV au zingine.

Muda ulioanza na uliomaliza una weka gamba lako unasave. Kwa mi ndo nimeelewa hapo ndo sehemu sahihi.View attachment 1531923
ok mkuu ngoja niingize kwanza harafu ntakupa mrejesho
 
Ivi mm mfano nimepiga bachelor in logistics....ila pia nina chet cha driving nilichosoma mtaani tuu sio veta na nina licence. Nikiweka kweny professional taarifa za udereva kwanza naatach chet cha driving au driving licence?? Pili je natambulika kama ni professional driver au natambulika kama logistics n transport officer??

Nawaza kua isije kua naonekana nimebobea kwenye driving kumbe mm driving ni minor tuu kwaajili ya kujazia CV yangu ya career yangu ya logistics n transport officer.

Naomba majibu sorry kwa muandiko mbayaa.

Ngoja wengine waje kukujibu kama sijakuelewa hivi kiongozi...!
 
Mkuu umetisha sana lakini kuna sehemu ya kujaza gpa sasa tunatunga yoyote au inakuwaje

Achana nayo hiyo wee kama unaona barua jaribu ku-attach uone kama itakwambia failed...!

Au hata kama huna barua click kwenye Apply uone itakupa msg gani.
 
Nmejaribu kuangalia kwa makini na kuhusisha kada ya udereva na hiyo part. Nimeona zinapatana kabisa. Mfano Country itakuta Tanzania, kwenye institution name (Driving) zipo VETA na NIT Na hiyo ndo zina tambuliwa zaidi kiserikali katika masuala ya udereva.

Kwenye course name kuna Driving license na professional driving. Kwa maoni yangu hapo ni vitu viwili tofauti. Driving license simple tu, ila professional driving we umeenda mbali zaidi yani una either VIP, PSV au zingine.

Muda ulioanza na uliomaliza una weka gamba lako unasave. Kwa mi ndo nimeelewa hapo ndo sehemu sahihi.View attachment 1531923
mkuu safi sana nimejaza pale HR ikanipa basic driving course nikachagua vizuri tu ila sasa imeleta option ya GPA hapo tunajaza nini wakati hicho cheti cha basic driving certificate hakina GPA
 
mkuu safi sana nimejaza pale HR ikanipa basic driving course nikachagua vizuri tu ila sasa imeleta option ya GPA hapo tunajaza nini wakati hicho cheti cha basic driving certificate hakina GPA

Mkuu fuata maelekezo nimekwambia jaribu ku-apply uone itakuletea msg gani kaka.
 
wadau nashukuru kwa michango yenu ila sijafanya makosa kujiunga JF mungu awabariki wajumbe wote mliotoa michango yenu.
 
Back
Top Bottom