IKIRIRI
JF-Expert Member
- Jan 14, 2018
- 2,734
- 3,023
Mimi ni moja ya wafanya biashara wa simu pesa airtel money ,tigo pesa n.k.
Hii biashara zamani ilikuwa inalipa sana,kwa sasa move imepungua sana
1.wakala wako wengi sana
2.utapeli mwingi hasa km uliyemuweka hayuko makini.
Mwaka huu nimetapeliwa kizembe sana uwezi amini tena nilikuwa mimi mwenyewe.,niko makini sana na matapeli ila nimepigwa kizembe.
Alikuja bibi mtu mzima sana,kanipa simu nimsaidie kutoa laki4 ,simu yake ya techno inasamani kama elfu40 hivi.
Wakati niko kwenye mchakato kaniambia nipe laki3 nikampe mjukuu wangu yule pale na kweli nilimuona mjukuu wake,alidai anataka kusafiri haraka.
Kwa wakati ule nilikuwa na wateja so sikuzingatia sana na nilimwamini yule bibi.
Baadae nakuja kukumbuka bibi simuoni.
Nikasubiri kama 30 saa hivi ,nikaamua kuikagua simu ,nikakuta ina namba1 tu ,nilivyopiga haikupatikana mpaka sasa ninavyoandika hapa.
Wadau wenzangu nipeni uzoefu jinsi matapeli wanavyofanya.
Nimemsamehe coz najua nikifuatilia nitatumia zaidi ya laki3.
Hii biashara zamani ilikuwa inalipa sana,kwa sasa move imepungua sana
1.wakala wako wengi sana
2.utapeli mwingi hasa km uliyemuweka hayuko makini.
Mwaka huu nimetapeliwa kizembe sana uwezi amini tena nilikuwa mimi mwenyewe.,niko makini sana na matapeli ila nimepigwa kizembe.
Alikuja bibi mtu mzima sana,kanipa simu nimsaidie kutoa laki4 ,simu yake ya techno inasamani kama elfu40 hivi.
Wakati niko kwenye mchakato kaniambia nipe laki3 nikampe mjukuu wangu yule pale na kweli nilimuona mjukuu wake,alidai anataka kusafiri haraka.
Kwa wakati ule nilikuwa na wateja so sikuzingatia sana na nilimwamini yule bibi.
Baadae nakuja kukumbuka bibi simuoni.
Nikasubiri kama 30 saa hivi ,nikaamua kuikagua simu ,nikakuta ina namba1 tu ,nilivyopiga haikupatikana mpaka sasa ninavyoandika hapa.
Wadau wenzangu nipeni uzoefu jinsi matapeli wanavyofanya.
Nimemsamehe coz najua nikifuatilia nitatumia zaidi ya laki3.