Silicon Valley
JF-Expert Member
- Mar 6, 2012
- 1,092
- 1,118
Wakuu salama?!
Naomba tujadili hili swala kwani sera iliopo sasa ni ya viwanda kwa ajili ya kuongeza ajira, wafanyakazi maisha yako juu, mishahara haitoshi, kwa upande wa pili uongozi wa kiwanda ushindani wa bidhaa sokoni mkali sana, kutishia kufunga kiwanda.
Wafanyakazi mshahara sh 100,000 @ mwezi nauli, chakula kazini juu yake WANAGOMA ili kuongezwa mshahara na meneja anasema hawezi ongeza hakuna wanachopata anaweza kuongeza 2.5% tu ili mshahara uwe 102,500=.. kweli kabisa hiyo ni 25 % tu ya gharama za maisha ya mfanyakazi wa hali ya chini kabisa lakini pia wapo watu wasio pata hata sh 50,000 tu @ mwezi.
Watanzania kwa malezi yao ya ujamaa wanawaona hao wawekezaji kama WANYONYAJI na HAWAAMINI kabisa wanachosema na kuwatishia Amani na maisha yao, aidha kwenda kuwashitaki mahakamani, Tuico n.k
Mwisho mwekezaji anachomoa pesa yake na kufunga kiwanda, hawezi kushitakiwa na PESA yake mwenyewe (yaani kwa kutumia pesa yake anawekeza halafu hiyo Investment yake inapeleka mahakamani na hajakiuka sharia kwani kima cha chini ni sh 80,000=)
Na sera ya mhe. Rais ni VIWANDA through Private sector in the same high competitive market?
Naomba TUJADILI
Naomba tujadili hili swala kwani sera iliopo sasa ni ya viwanda kwa ajili ya kuongeza ajira, wafanyakazi maisha yako juu, mishahara haitoshi, kwa upande wa pili uongozi wa kiwanda ushindani wa bidhaa sokoni mkali sana, kutishia kufunga kiwanda.
Wafanyakazi mshahara sh 100,000 @ mwezi nauli, chakula kazini juu yake WANAGOMA ili kuongezwa mshahara na meneja anasema hawezi ongeza hakuna wanachopata anaweza kuongeza 2.5% tu ili mshahara uwe 102,500=.. kweli kabisa hiyo ni 25 % tu ya gharama za maisha ya mfanyakazi wa hali ya chini kabisa lakini pia wapo watu wasio pata hata sh 50,000 tu @ mwezi.
Watanzania kwa malezi yao ya ujamaa wanawaona hao wawekezaji kama WANYONYAJI na HAWAAMINI kabisa wanachosema na kuwatishia Amani na maisha yao, aidha kwenda kuwashitaki mahakamani, Tuico n.k
Mwisho mwekezaji anachomoa pesa yake na kufunga kiwanda, hawezi kushitakiwa na PESA yake mwenyewe (yaani kwa kutumia pesa yake anawekeza halafu hiyo Investment yake inapeleka mahakamani na hajakiuka sharia kwani kima cha chini ni sh 80,000=)
Na sera ya mhe. Rais ni VIWANDA through Private sector in the same high competitive market?
Naomba TUJADILI