Sky Eclat
JF-Expert Member
- Oct 17, 2012
- 57,761
- 216,011
Hii biashara ina faida sana, ukiwa na vyumba 10 kwa 20,000 chumba kimoja na vyote vikapata wateja, una uhakika wa 200,000 kwa siku. Nyumba hizi hustiri wengi wenye uwezo wa kati na wa chini. Wale wasio kudumu hoteli kuanzia 100,000 kwa siku.
Changamoto moja kubwa ni ustaarabu, watu wengi hawajastaarabika. Mgeni akiondoka unagundua aliacha kinyesi au mkojo kitandani, wakati choo kipo chumbani. Kama una matatizo ya kukojoa ukiwa unelala ni kheri kusema wakati unachukua chumba.
Wizi, rafiki yangu aliweka portable A/C wageni walitambaa nazo, sijui walitoka nazo vipi lakini alikuta zimeibiwa. Fikiria alizitoa nje ya nchi moja karibu £150 bado gharama ya kufikisha Tanzania. Wizi wa shuka ni kawaida, wengine wakitoa 20,000 kama shuka ni nzuri ana kunja na kuweka kwenye bag.
Kutupa condoms chooni kunasababisha vyoo kuziba. Utaita wazibua vyoo kila siku na kati ya wateja 10, nane watatupa condoms na wadada wengine wanatupa tampons kabisa.
Tupeane changamoto zaidi.
Changamoto moja kubwa ni ustaarabu, watu wengi hawajastaarabika. Mgeni akiondoka unagundua aliacha kinyesi au mkojo kitandani, wakati choo kipo chumbani. Kama una matatizo ya kukojoa ukiwa unelala ni kheri kusema wakati unachukua chumba.
Wizi, rafiki yangu aliweka portable A/C wageni walitambaa nazo, sijui walitoka nazo vipi lakini alikuta zimeibiwa. Fikiria alizitoa nje ya nchi moja karibu £150 bado gharama ya kufikisha Tanzania. Wizi wa shuka ni kawaida, wengine wakitoa 20,000 kama shuka ni nzuri ana kunja na kuweka kwenye bag.
Kutupa condoms chooni kunasababisha vyoo kuziba. Utaita wazibua vyoo kila siku na kati ya wateja 10, nane watatupa condoms na wadada wengine wanatupa tampons kabisa.
Tupeane changamoto zaidi.