ephen_
JF-Expert Member
- Oct 28, 2022
- 14,949
- 54,485
- Thread starter
- #21
Umeelewa mkuu! Kaganda kwa kaka bado36 vs 19 mbona gape kubwa sana, au ndio wanaume hawazeeki? Fast forward 8yrs jamaa yupo 44 vs 27 bado tu wameganda kwa kaka? Mbona huyo mwamba ni mtu mzima sana kuganda kwa kaka? Ama mimi ndio sijaelewa!!