Umeelewa mkuu! Kaganda kwa kaka bado36 vs 19 mbona gape kubwa sana, au ndio wanaume hawazeeki? Fast forward 8yrs jamaa yupo 44 vs 27 bado tu wameganda kwa kaka? Mbona huyo mwamba ni mtu mzima sana kuganda kwa kaka? Ama mimi ndio sijaelewa!!
Jay Z kazaliwa 1969 Beyonce kazaliwa 1981.Hiyo Kama Jay z na Beyonce mademu wanapenda mabro Jay za alikuwa na 32 akawa anaishi kwa Beyonce mwenye 18 yrs hapo kuhusu umri sio hoja
Very hard to take.36 vs 19 mbona gape kubwa sana, au ndio wanaume hawazeeki? Fast forward 8yrs jamaa yupo 44 vs 27 bado tu wameganda kwa kaka? Mbona huyo mwamba ni mtu mzima sana kuganda kwa kaka? Ama mimi ndio sijaelewa!!
Mwambieni dada yenu amuamshe mume akili, imesinziaUmeelewa mkuu! Kaganda kwa kaka bado
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Tukitoa ushauri waachane, kesho watapost status wakiwa wamepakatana,
caption: "Hakuna mbwa wa kutuachanisha"
Ndio nini hii tena?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kuna siku ulinijibu kuwa...huwezi jibu swali la kitoto kana kwamba hujui kuwa siyo single mom wote hupenda kuwa na mtoto kabla ya ndoa...hudanganywa na wanaowaamini....mlidanganywa na mliye mwamini.....haya ni maisha bro...nikipigwa na hili utapigwa na lile
Ni jazba ambayo mleta mada aliweza kuishusha kwa busara sana...nilikatwa mdomo chap!Ndio nini hii tena?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
HahahaNi jazba ambayo mleta mada aliweza kuishusha kwa busara sana...nilikatwa mdomo chap!
SawaKuna siku ulinijibu kuwa...huwezi jibu swali la kitoto kana kwamba hujui kuwa siyo single mom wote hupenda kuwa na mtoto kabla ya ndoa...hudanganywa na wanaowaamini....mlidanganywa na mliye mwamini.....haya ni maisha bro...nikipigwa na hili utapigwa na lile