Changamoto za Ndoa: Kufungua Mlango Mpya au Kuendelea na Safari ya Majaribu?

36 vs 19 mbona gape kubwa sana, au ndio wanaume hawazeeki? Fast forward 8yrs jamaa yupo 44 vs 27 bado tu wameganda kwa kaka? Mbona huyo mwamba ni mtu mzima sana kuganda kwa kaka? Ama mimi ndio sijaelewa!!
Very hard to take.

Labda ni familia za kihindi.

Hapa dsm jinsi maisha yalivyo hii ni ngumu.
 
Ndio nini hii tena?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Waachieni mambo yao hao, hiyo ishu imekaa vibaya, mnatafuta lawama ku shauri shauri
 
Sawa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…