KulimaKufanya nini?
SiweziKulima
Ndo maana natumiaga neno 'walio wengi' sijawahi sema wote HornetKwa hapo ulipo sample ya wanawake unaowajua ni ndogo sana kujumuisha!
Kuna wanawake wako vizuri sana kwenye mambo ya tendo mwanaume ndo anakimbia!
Lakini kumbuka baadhi ya wanaume wanaongoza Kuwaitis uvivu wake zao, kwa kushindwa kuwa appreciate katika mambo kadha wa kadha ndani ya nyumba.
Hawa bana tuishi nao hivo hivo walivyo hakuna namna maana ni wake zetu, dada zatu, mama zetu etcSasa sijui lini utasikia mke wako anakupigia kukwambia wahi nyumbani nina hamu ukanit..e. waho ukifika tena umechelewa utasikia ulikuwa wapi? Ole wako mguse utasikia usiniletee umalaya wako, kuchelewa kote unajikosha nijue hujat..bana. Basi ukiomba atakwambia uko ulikoshinda hujapata?
Ninasubiri hadi usingizi kwa mbaali unanijiaLooh. Pole sana
Kwa sasa endelea kufaidi walau matunzo yake, ukipata mbadala safi, tena muoaji.kabisa ndo muache, otherwise utabugi mbaya
Pole bestShoga angu subiri uendelee kuwa nae halafu uje kujua alikua anakudanganya na ushafall in love.
Niko kwenye situation hiyo na nampenda huyu kaka kufa ila ana gf na alinidanganya he's single. Nimekuja shtuka ana gf na anaishi nae jamani. Napambana kumuacha ila nashindwaaa.
Si kuna mahali umesema anakujali, kujaliwa kwa mwanamke mi najua lazima umuhudumie, umpe pesa etc.Kwanini nitabugi? matunzo unamaanisha nini?
Kwa spirit hii, siku ukigundua his dark side ... Sipati pichaNakuambia hivi nishapitia wanaume wa hivyo shule kamili ninayo kichwani, G wangu ni malaika hakuna kama yeye jasiri haachi asili nakuambia,
Si kuna mahali umesema anakujali, kujaliwa kwa mwanamke mi najua lazima umuhudumie, umpe pesa etc.
Sasa unaweza kumuacha huyo ukaangukia kwa player zaidi, unaambulia kito...bo tu bila chochote, halafu na usione dalili za ndoa
Mtazamo wangu, ili uweze ukewenza,
-Usiwe na wivu, uwe busy na miradi yako kichwa muda wote kinawaka moto katika utafutaji,
-Kama hupendi mambo ya kutiwa tiwa hapo ukewenza utaumudu, zile za kudekezana msg asubuhi mchana na jioni simu masaa manne mnaongea tu mkikata mnatumiana msg ooh nimekumiss hapo shost ukewenza utakua mgumu.
Kiufupi ili mtu amudu ukewenza kwenye lgbt tunamuita Asexual.
Wake za Mtume walikua wanagombana na kuoneana wivu itakua kizazi hiki.
Sijui kama watakuelewa, utasikia ooh mnajiendekeza, wakati ndo uhalisia wa mwanaume rijali