DiasporaUSA
JF-Expert Member
- Aug 27, 2016
- 23,382
- 29,639
Corona virus in Tz is overrated
MamboYaaani Mimi Natamani uke wenza...zamu zamu. Nikichoko kukoroma kwako unaenda kumkoromea mwenzangu huko.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ila pia ushirikina ni mwingi sana....Uke wenza siyo maisha,mapenzi hakuna,hujui hata mwanaume kalala wapi,dharau huwa nyingi,hata uwezekano wa kupata marazi ni mkubwa sana. Kama anajiweza aanze mdogo mdogo.
Ushirikina au utraaamIla pia ushirikina ni mwingi sana....
Samahani mkuu, mtoto alikua anachezea sim..ππ€£π€£π€£π€£π€£Haya maneno umeychorbwewe kweli??? πππππ