Ualimu kama kazi nyingine nikazi inayoitaji uvumilivu kujituma na uwezo wa kukabili maudhi pale yanapokukumba: Lakini ualimu unatia fola hususani ni kwa kua na changamoto nyingi mfano
1:Ugeni na Umbani wa eneo alilopangwa
2:Ushirikina kuwachezea walimu kama kipimo cha kujua udhabiti na uimara wao
3: kutotosheleza kwa ela ya kujikimu wanayopewa na serikari
4:Ubovu wa nyumba za kuishi
5:ukosefu wa vitendea kazi kama madarasa,chaki na vifaa kama hivyo
Nisiende mbali wewe kama wewe ulieajiliwa leo utaweza kuyakabili hayo na mengine??
Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
1:Ugeni na Umbani wa eneo alilopangwa
2:Ushirikina kuwachezea walimu kama kipimo cha kujua udhabiti na uimara wao
3: kutotosheleza kwa ela ya kujikimu wanayopewa na serikari
4:Ubovu wa nyumba za kuishi
5:ukosefu wa vitendea kazi kama madarasa,chaki na vifaa kama hivyo
Nisiende mbali wewe kama wewe ulieajiliwa leo utaweza kuyakabili hayo na mengine??
Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums