Changamoto za wanawake wanaoweka 'bleach' kichwani

Changamoto za wanawake wanaoweka 'bleach' kichwani

Nilikutana na mademu kama watatu ivi wenye breach kichwani nyakati tofauti tofauti na kufanikiwa kupata utamu wa asili kiraisi mno bila ata kutumia nguvu lakin sasa kimbembe hawa mademu ni shida Ving'ang'anizi adi walikuwq wananifanya nihame mitaa na kuwa chukia tena.

Mwanamke wa kwanza
Uyu nilijuana naye nipo chuo Iringa, mm nilikuwa napenda sana kwenda kwa jamaa mmoja nikitoka pidi na siku za weekend kupiga stori na yy alikuwa anakuja pale kupiga stori,ktk kuzoeana basi nikaomba gemu ilikuwa sio ata ngumu,siku ya kwanza akaja gheto tukavunja amri kumi za mungu,du kumbe nilikuwa nmechelewa ikawa kila siku adi nikawa na doji pindi tunaJifungia ndani tu.

Ilifika muda ikawa kero kwangu yy kila muda anataka shoo, ukimwambia hujisikii apo sasa unazua ugonvi.
Basi nilipiga chini nikabadili line nikahama mtaa lkn akawa ananifuata uwajani kwenye mazoezi mimi nimefunga vioo.

Mwanamke wa pili
Baada chuo nikaenda home (shy) kwanza, nikakaa kama miezi sita iv maisha yakawa sio nikaenda mkoa wa morogoro kuanzisha project ya klima cha mboga mboga kama pilipili hoho, mbuzi, nyanya na bamia.

Ile project nilikomaa nayo adi nikaanza kutoa mazao,nilianza na hoho nyanya na bamia, hii kazi asilimia kubwa ya wanunuzi ni akina mama wakawa wanakuja shamba wananunua kulingana na mahitaji yao, sasa kati ya wanunuzi alikuwepo dada mmoja ni mkali mrefu maji ya kunde na ana mwanya aise alinivutia muonekano wake.walikuwa wanafanya biashara iyo ya mboga mboga, kila wakija shamba wanakuja watatu, siku moja walikuja shamba wakiwa hivyo hivyo watatu nikamvuta pembeni nikaomba namba nikamwambia nitakucheki akasema poa.

Kweli jion yake nika mvutia waya hewani nika mpaga aje chimbo fulanI du kweli alitimba amevunja kabati katupia kinoma.

Sikuchelewa nikaomba utamu wa asili,yaaan fasta tu akawa ametiki nikatafta lodge tukavunja amri kumi za mungu.

Aise ikawa balaa, shamba akawa anakuja pekeake,coz kule shamba ilikuwepo kambi ko nikawa najipigia tu.

Tatizo likaja, muda wa kufanya kazi ukawa amna yaan yy anataka tu kusex adi wale jamaa waliokuwa nimewatafuta wa kunisaidia kazi wakawa wana shangaa,basi cku moja nikamulia ganzi nikamchana makavu mm na ww basi.

Du kilichotokea sikuamini,kumbe marafiki zake aliwambia kuwa nita muoa alinifanya nihame chaka coz alinitafutia masera wanipige, iko ile project nika muachia msimamizi wangu.

Ko sitaki tena mademu wenye bleach kichwani.

Demu wa tatu..................( )
Kyai kya rangi
 
Haya mambo ya kutongoza demu unaleta ghetto unapiga halafu unamuacha achaneni nayo nafuu uwe unapeleka lodge maana nilijuta kwakweli
Kweli kabisa, kama huna mpango na demu malizana nae juu kwa juu maana akikuganda itakupa shida zisizo za lazima kama kuhama unapoishi anu kubadili mawasiliano
 
Wale wanawake wanaofanya kazi kwenye massage Centre’s Je ?

Kuna watu wamejikataa nafsi zao kabisa, Yani hawana cha kupoteza hata kwa lolote likitokea!
 
Nilikutana na mademu kama watatu ivi wenye breach kichwani nyakati tofauti tofauti na kufanikiwa kupata utamu wa asili kiraisi mno bila ata kutumia nguvu lakin sasa kimbembe hawa mademu ni shida Ving'ang'anizi adi walikuwq wananifanya nihame mitaa na kuwa chukia tena.

Mwanamke wa kwanza
Uyu nilijuana naye nipo chuo Iringa, mm nilikuwa napenda sana kwenda kwa jamaa mmoja nikitoka pidi na siku za weekend kupiga stori na yy alikuwa anakuja pale kupiga stori,ktk kuzoeana basi nikaomba gemu ilikuwa sio ata ngumu,siku ya kwanza akaja gheto tukavunja amri kumi za mungu,du kumbe nilikuwa nmechelewa ikawa kila siku adi nikawa na doji pindi tunaJifungia ndani tu.

Ilifika muda ikawa kero kwangu yy kila muda anataka shoo, ukimwambia hujisikii apo sasa unazua ugonvi.
Basi nilipiga chini nikabadili line nikahama mtaa lkn akawa ananifuata uwajani kwenye mazoezi mimi nimefunga vioo.

Mwanamke wa pili
Baada chuo nikaenda home (shy) kwanza, nikakaa kama miezi sita iv maisha yakawa sio nikaenda mkoa wa morogoro kuanzisha project ya klima cha mboga mboga kama pilipili hoho, mbuzi, nyanya na bamia.

Ile project nilikomaa nayo adi nikaanza kutoa mazao,nilianza na hoho nyanya na bamia, hii kazi asilimia kubwa ya wanunuzi ni akina mama wakawa wanakuja shamba wananunua kulingana na mahitaji yao, sasa kati ya wanunuzi alikuwepo dada mmoja ni mkali mrefu maji ya kunde na ana mwanya aise alinivutia muonekano wake.walikuwa wanafanya biashara iyo ya mboga mboga, kila wakija shamba wanakuja watatu, siku moja walikuja shamba wakiwa hivyo hivyo watatu nikamvuta pembeni nikaomba namba nikamwambia nitakucheki akasema poa.

Kweli jion yake nika mvutia waya hewani nika mpaga aje chimbo fulanI du kweli alitimba amevunja kabati katupia kinoma.

Sikuchelewa nikaomba utamu wa asili,yaaan fasta tu akawa ametiki nikatafta lodge tukavunja amri kumi za mungu.

Aise ikawa balaa, shamba akawa anakuja pekeake,coz kule shamba ilikuwepo kambi ko nikawa najipigia tu.

Tatizo likaja, muda wa kufanya kazi ukawa amna yaan yy anataka tu kusex adi wale jamaa waliokuwa nimewatafuta wa kunisaidia kazi wakawa wana shangaa,basi cku moja nikamulia ganzi nikamchana makavu mm na ww basi.

Du kilichotokea sikuamini,kumbe marafiki zake aliwambia kuwa nita muoa alinifanya nihame chaka coz alinitafutia masera wanipige, iko ile project nika muachia msimamizi wangu.

Ko sitaki tena mademu wenye bleach kichwani.

Demu wa tatu..................( )
Umeniudhi unapochanganya kazi na mapenzi, naamini kilimo cha mboga mboga kimekufa kibudu
 
Kama unaona tatizo ni bleach si unatoa hizo bleach shida iko wapi kwani??
 
Nilikutana na mademu kama watatu ivi wenye breach kichwani nyakati tofauti tofauti na kufanikiwa kupata utamu wa asili kiraisi mno bila ata kutumia nguvu lakin sasa kimbembe hawa mademu ni shida Ving'ang'anizi adi walikuwq wananifanya nihame mitaa na kuwa chukia tena.

Mwanamke wa kwanza
Uyu nilijuana naye nipo chuo Iringa, mm nilikuwa napenda sana kwenda kwa jamaa mmoja nikitoka pidi na siku za weekend kupiga stori na yy alikuwa anakuja pale kupiga stori,ktk kuzoeana basi nikaomba gemu ilikuwa sio ata ngumu,siku ya kwanza akaja gheto tukavunja amri kumi za mungu,du kumbe nilikuwa nmechelewa ikawa kila siku adi nikawa na doji pindi tunaJifungia ndani tu.

Ilifika muda ikawa kero kwangu yy kila muda anataka shoo, ukimwambia hujisikii apo sasa unazua ugonvi.
Basi nilipiga chini nikabadili line nikahama mtaa lkn akawa ananifuata uwajani kwenye mazoezi mimi nimefunga vioo.

Mwanamke wa pili
Baada chuo nikaenda home (shy) kwanza, nikakaa kama miezi sita iv maisha yakawa sio nikaenda mkoa wa morogoro kuanzisha project ya klima cha mboga mboga kama pilipili hoho, mbuzi, nyanya na bamia.

Ile project nilikomaa nayo adi nikaanza kutoa mazao,nilianza na hoho nyanya na bamia, hii kazi asilimia kubwa ya wanunuzi ni akina mama wakawa wanakuja shamba wananunua kulingana na mahitaji yao, sasa kati ya wanunuzi alikuwepo dada mmoja ni mkali mrefu maji ya kunde na ana mwanya aise alinivutia muonekano wake.walikuwa wanafanya biashara iyo ya mboga mboga, kila wakija shamba wanakuja watatu, siku moja walikuja shamba wakiwa hivyo hivyo watatu nikamvuta pembeni nikaomba namba nikamwambia nitakucheki akasema poa.

Kweli jion yake nika mvutia waya hewani nika mpaga aje chimbo fulanI du kweli alitimba amevunja kabati katupia kinoma.

Sikuchelewa nikaomba utamu wa asili,yaaan fasta tu akawa ametiki nikatafta lodge tukavunja amri kumi za mungu.

Aise ikawa balaa, shamba akawa anakuja pekeake,coz kule shamba ilikuwepo kambi ko nikawa najipigia tu.

Tatizo likaja, muda wa kufanya kazi ukawa amna yaan yy anataka tu kusex adi wale jamaa waliokuwa nimewatafuta wa kunisaidia kazi wakawa wana shangaa,basi cku moja nikamulia ganzi nikamchana makavu mm na ww basi.

Du kilichotokea sikuamini,kumbe marafiki zake aliwambia kuwa nita muoa alinifanya nihame chaka coz alinitafutia masera wanipige, iko ile project nika muachia msimamizi wangu.

Ko sitaki tena mademu wenye bleach kichwani.

Demu wa tatu..................( )
Ungepigwa kabisa, ungemwambia from the beginning unapita tu
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]ulibondwa pole sana aiseh. Muwe mnatafuta madem wenye akil timamu. Ukiona dem katoboa pua, ana bleach, ametoboa masikio sehem nne au tano, ndugu yangu RUN.
Asante sana lovelovie kwa ushauri
 
Me nina swali hivi ile rangi wakitaka kuitoa kichwani wanafanyaje
Me mwenyewe nilidadis sana then mmoja wapo nlimuliza akasema kuna mafuta huwa wanapaka kutoa iyo rangi
 
Back
Top Bottom