Changamoto za wasaidizi wa kazi za ndani(housemaids)

Wanaweza kuwa wamekulia katika shida KUBWA SANA, na possibly walio wengi wao ni yatima. Ukishamuona yuko hivyo, jaribu kumwangalia mtoto wako uliye naye pale nyumbani kwako, halafu imagine kuwa huyo mtoto wako ndiyo huyo house girl! Kama imaginations zako ni za binadamu wa kawaida, kesho yake unaweza ukaanza kumfanyia mpango wa kumepeleka VETA akasome, badala ya kuendelea kumfanya awe house girl. Unajua nini, sisi binadamu tutaendelea kupata shida mpaka Yesu atakaporudi kwa sababu katika mambo yaliyo mengi, huwa hatuhurumiani na huwa tunapenda kwa mipaka. Unakuta mtu anapenda watu wa nyumbani kwake tu au watoto wake tu halafu huku kwingine anaona takataka tu. Sasa kila mtu akiwa ana roho hiyo, howa are going to sail with all the silly storms around us?
 
Wanaweza kuwa wamekulia katika shida KUBWA SANA, na possibly walio wengi wao ni yatima. Ukishamuona yuko hivyo, jaribu kumwangalia mtoto wako uliye naye pale nyumbani kwako, halafu imagine kuwa huyo mtoto wako ndiyo huyo house girl! Kama imaginations zako ni za binadamu wa kawaida, kesho yake unaweza ukaanza kumfanyia mpango wa kumepeleka VETA akasome, badala ya kuendelea kumfanya awe house girl. Unajua nini, sisi binadamu tutaendelea kupata shida mpaka Yesu atakaporudi kwa sababu katika mambo yaliyo mengi, huwa hatuhurumiani na huwa tunapenda kwa mipaka. Unakuta mtu anapenda watu wa nyumbani kwake tu au watoto wake tu halafu huku kwingine anaona takataka tu. Sasa kila mtu akiwa ana roho hiyo, howa are going to sail with all the silly storms around us?
 
Aisee hawa watu wana vituko vyao.
Wanatusaidia sana.
Enzi nabarehe walinisaidia sana.
Ila wake zetu wamekuwa wahindi.
 
Ubaya sisi wanaume tukiwatetea hawa wasaidizi twaonekana twawala au twawataka.
Tukiwa wakali kwao twaonekana tunazuga kumbe tuwala huo ukali ni zuga ili kuonekana serious
 
Tujadili udhaifuu wakoo bhasi wa kudandia mada zisizokuhusu na kuzivalia njugaa[emoji23]
 
Hakika mkuu..!! Tuishi nao kama ndugu zetu maana ikimtendea mabaya anaweza mtendea mwanao
 
nazi badala ya kukuna kwenye mbuzi tulikuta anaitwanga kwenye kinu, na pia tulimkuta kamchemsha kuku na manyoa yake eti ili iwe simple wakati wa kumnyonyoa dah
 
mabaharia kama nyie uwa amkosi kwenye nuzi za watu sasa mkuu ulitaka tusikumbushie vituko vya beki tara??!!
 
Ukiwa na mtoto/watoto housegirl hakai. Wachache sana wenye roho nzuri na kupenda mtoto. Mimi ndio siwezagi kukaa nao maana pasua kichwa unamuelekeza hivi atafanya siku mbili atarudia yale yale.
Sitaki pressure kwakweli
 
Ukiwa na mtoto/watoto housegirl hakai. Wachache sana wenye roho nzuri na kupenda mtoto. Mimi ndio siwezagi kukaa nao maana pasua kichwa unamuelekeza hivi atafanya siku mbili atarudia yale yale.
Sitaki pressure kwakweli
Wife kaongea mpaka kachoka yani Anarudia makosa yale yale kila siku...kila kitu lazima umwambie hawezi jiongeza! Ukikuta wamama wakaidi ndo wanapigaa haooo
 
Wife kaongea mpaka kachoka yani Anarudia makosa yale yale kila siku...kila kitu lazima umwambie hawezi jiongeza! Ukikuta wamama wakaidi ndo wanapigaa haooo
Unachoka kweli. Mie siwezi nimeshazoea kujikalia mwenyewe saiv
 
hili muhimu sana hasa kupima ngoma.
 
Tujadili udhaifuu wakoo bhasi wa kudandia mada zisizokuhusu na kuzivalia njugaa[emoji23]
Mada ingekuwa hainihusu usingeiweka kwenye jukwaa huru, ungejadili nyumbani kwako na shemeji yako, ukiileta jukwaani maana yake public inahusika.

Nia yangu wewe na wenzio mbadili mtazamo na mjifunze kuheshimu watu wengine. Dada wa kazi ni binadamu tu kama wewe, anapaswa kuheshimiwa. Kumjadili madhaifu yake as if hayo madhaifu binadamu wengine hawana ni spesho tu kwa dada wa kazi huo ni ujinga.

Mtu yeyote anayetoka kijijini akifika mjini akakutana na vitu vipya, na mazingira mapya lazima atastruggle. Sasa kumfanya kituko ni dalili ya umaskini wa fikra, yaani unaamini wewe ni superior kwa yeye kuwa inferior. Huo ndio 'uhindi' na ndio mnachojadili hapa mkipongezana to the extent mwenzenu mmoja amethubutu kufikia kusema yeye wa kwake kituko chake ni KUKAA KWENYE MAKOCHI NA KULA PAMOJA DINNING kwa maana hiyo hastahili kula nao na asikae kwenye makochi? Sasa hapa unajiuliza, mnamzungumzia MBWA au binadamu?!

Sisi sisi tunatokwa mishipa ya koo kuwalaani wazungu kwa ukoloni, tunawalaani waarabu wanaowabagua dada zetu na kuwatesa, lakini majumbani mwetu hizi ndio treatment tunazowapa our own kind. Yaani akale jikoni na sio dinning? So low and selfish. Na unayenishangaza zaidi ni wewe mtoto wa kiume, hizi roho za saluni wanaume hatuna, unapata wapi haya dogo? Juzi ulikuwa mtetezi mzuuuri wa singo maza, leo wewe na singo maza mna team up kuongea mambo yasiyo sahihi juu ya watu wengine kwa kuwa tu hawakubahatika kuwa na shemeji kama wako wakaishia hapo kwa dadako kwa status tofauti na yako? Come oooooon boy, Have mercy for your father...he should be proud of you when you display masculine behaviors dear boy, achana na hii kitu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…