Changamoto zinazowakumba watu wenye muonekano mzuri kwenye nchi za kimaskini

Changamoto zinazowakumba watu wenye muonekano mzuri kwenye nchi za kimaskini

captain 6

Senior Member
Joined
May 7, 2024
Posts
132
Reaction score
110
Wasalam,

Nimeona na kushughudia kwenye nchi zenye umaskini mkubwa kuwa mtu ukiwa na muonekano labda rangi ya ngozi mathalan ukawa ngozi nyeupe kama ndugu zetu waarabu au maji ya kunde ile ya mng'aro basi inakuwa ni shida sana kwenye mitaa au masokoni au sehemu yoyote ile.

Ukiwa na rangi ya ngozi au una muonekano fulani kwa mwanaume handsome na kwa mwanamke cute, unakuwa huna amani wala uhuru wa kuishi vile unavyotaka, ukienda kununua kitu hata cha mtumba basi watakushangaa na kukuona kama hustahiki kuvaa mitumba na hata ukinunua utapigwa bei ya juu tofauti na atakapokwenda mtu mwenye muonekano wa kawaida tu.

Nimeshughudia mwamba fulani alienda kununua kiatu bei aliyopigwa ni tofauti na bei aliopigwa mtu mwenye muonekano wa kawaida, kwakweli inaboa watanzania walio wengi wanaamini mtu mwenye muonekano mzuri anastahiki aishi pazuri, alale pazuri, avae vizuri, hata akipanda daladala basi wanahisi kama hastahiki kutumia ule usafiri kwakweli mnaboa.

Na ndiyo hii hali inawapelekea vijana wengi wakijigundua tu kuwa wapo na muonekano wa kuvutia wataanza kufake maisha ili waendane na maono na mitazamo ya watu wengne.
 
Tuma picha yako tuone kwanza muonekano wako.
Hizo hali sisemei kiupande wangu ,,ila nimeshashughudia kijana fulan choka mbaya tu lakin watu wanavyomchukulia kama ni mtu ambae wa matawi na wakati maisha yake ni kawaida ila mwamba anafosi anafikia mpaka kuazima mavazi ili aendane na vile watu wanavyotaka.
Ila hii yote inatokana kua jinsi tunavyowachukulia mahndsome na wanawke warembo kua labda wametoka kwenye familia za kishua
 
Wasalam,

Nimeona na kushughudia kwenye nchi zenye umaskini mkubwa kuwa mtu ukiwa na muonekano labda rangi ya ngozi mathalan ukawa ngozi nyeupe kama ndugu zetu waarabu au maji ya kunde ile ya mng'aro basi inakuwa ni shida sana kwenye mitaa au masokoni au sehemu yoyote ile.

Ukiwa na rangi ya ngozi au una muonekano fulani kwa mwanaume handsome na kwa mwanamke cute, unakuwa huna amani wala uhuru wa kuishi vile unavyotaka, ukienda kununua kitu hata cha mtumba basi watakushangaa na kukuona kama hustahiki kuvaa mitumba na hata ukinunua utapigwa bei ya juu tofauti na atakapokwenda mtu mwenye muonekano wa kawaida tu.

Nimeshughudia mwamba fulani alienda kununua kiatu bei aliyopigwa ni tofauti na bei aliopigwa mtu mwenye muonekano wa kawaida, kwakweli inaboa watanzania walio wengi wanaamini mtu mwenye muonekano mzuri anastahiki aishi pazuri, alale pazuri, avae vizuri, hata akipanda daladala basi wanahisi kama hastahiki kutumia ule usafiri kwakweli mnaboa.

Na ndiyo hii hali inawapelekea vijana wengi wakijigundua tu kuwa wapo na muonekano wa kuvutia wataanza kufake maisha ili waendane na maono na mitazamo ya watu wengne.
Nasikia nyie watu hata kwenye huduma za kijamii mnachajiwa pesa ndefu sana.
 
Nasikia nyie watu hata kwenye huduma za kijamii mnachajiwa pesa ndefu sana.
Ndio hapo sasa yani ukiwa na kirangi cha ngozi kidogo tu basi unaonekana kama una maisha fulani ya raha kumbe bwana shida tupu nataman ningelikua mweusi yani muda mwegne nakaa najisemea kwanini nilizaliwa kwenye nchi ambayo wakaaz wake kwa asilimia kubwa ni weusi na hao wanaamini kua kila mtu mweupe ana maisha fulan kiasi kwamba hata kwenda kununua bidhaa masokoni najua nitapigwa na wakat mm mwenyewe sielew ,,
Changamoto hata kwenye kutongoza demu yoyte ananikubalia ila akishaona mwamba hana maajabu anapotea yani kwakweli ni shida tupu wale weupe wenzangu mnalitatuaje hili tatizo
 
Ndio hapo sasa yani ukiwa na kirangi cha ngozi kidogo tu basi unaonekana kama una maisha fulani ya raha kumbe bwana shida tupu nataman ningelikua mweusi yani muda mwegne nakaa najisemea kwanini nilizaliwa kwenye nchi ambayo wakaaz wake kwa asilimia kubwa ni weusi na hao wanaamini kua kila mtu mweupe ana maisha fulan kiasi kwamba hata kwenda kununua bidhaa masokoni najua nitapigwa na wakat mm mwenyewe sielew ,,
Changamoto hata kwenye kutongoza demu yoyte ananikubalia ila akishaona mwamba hana maajabu anapotea yani kwakweli ni shida tupu wale weupe wenzangu mnalitatuaje hili tatizo
Ishi nalo tu hivo hivo....kubaguliwa ni kawaida....afu ni kama wanawake wengi wanadanganyana kweny hayo magroup kuwa siwez kuwa na mwanaume mweupe....hii kitu inaumiza sana kisaikolojia...hata ukimuelewa Dem unaogpa kurusha mistar ukihofia kukataliwa
 
Ndio hapo sasa yani ukiwa na kirangi cha ngozi kidogo tu basi unaonekana kama una maisha fulani ya raha kumbe bwana shida tupu nataman ningelikua mweusi yani muda mwegne nakaa najisemea kwanini nilizaliwa kwenye nchi ambayo wakaaz wake kwa asilimia kubwa ni weusi na hao wanaamini kua kila mtu mweupe ana maisha fulan kiasi kwamba hata kwenda kununua bidhaa masokoni najua nitapigwa na wakat mm mwenyewe sielew ,,
Changamoto hata kwenye kutongoza demu yoyte ananikubalia ila akishaona mwamba hana maajabu anapotea yani kwakweli ni shida tupu wale weupe wenzangu mnalitatuaje hili tatizo
Mweupe kwenye jamii ya weusi...au ni chotara😂😂😂
 
Ukifanya maisha yako unaonekana unaringa,utasemwa vibaya na utalogwa sana,utachukiwa bila sababu....hii jamii ya kiafrika especial watanzania ni yakishezi sana...hata huu msemo wa kuwaponda wanaume weupe unatokana na wivu tu..ww tokea lini kitu cheusi ikawa nzuri kuliko kitu cheupe..never ni wanajipa maneno ya kujifariji baada ya kujikuta wanaolewa na majitu wasiotarajia..watu weusi wengi ni mashetani ..period
 
Nahivi jf ni mambo ya mficho,basi watu wenye rangi zenu mnapata tabu kujitambulisha, poleni sana aisee.!! Yani hapa tunavimba wote....
 
Wasalam,

Nimeona na kushughudia kwenye nchi zenye umaskini mkubwa kuwa mtu ukiwa na muonekano labda rangi ya ngozi mathalan ukawa ngozi nyeupe kama ndugu zetu waarabu au maji ya kunde ile ya mng'aro basi inakuwa ni shida sana kwenye mitaa au masokoni au sehemu yoyote ile.

Ukiwa na rangi ya ngozi au una muonekano fulani kwa mwanaume handsome na kwa mwanamke cute, unakuwa huna amani wala uhuru wa kuishi vile unavyotaka, ukienda kununua kitu hata cha mtumba basi watakushangaa na kukuona kama hustahiki kuvaa mitumba na hata ukinunua utapigwa bei ya juu tofauti na atakapokwenda mtu mwenye muonekano wa kawaida tu.

Nimeshughudia mwamba fulani alienda kununua kiatu bei aliyopigwa ni tofauti na bei aliopigwa mtu mwenye muonekano wa kawaida, kwakweli inaboa watanzania walio wengi wanaamini mtu mwenye muonekano mzuri anastahiki aishi pazuri, alale pazuri, avae vizuri, hata akipanda daladala basi wanahisi kama hastahiki kutumia ule usafiri kwakweli mnaboa.

Na ndiyo hii hali inawapelekea vijana wengi wakijigundua tu kuwa wapo na muonekano wa kuvutia wataanza kufake maisha ili waendane na maono na mitazamo ya watu wengne.
Soon unaenda kuwa choko
 
Utajua mwenyewe mkuu, hatuna cha kukusaidia😅
 
Jf mmetuletea balaa,kuondoa utaratibu kwamba hata kama sio member unaweza kuperuzi Jf, na sasa mnalazimisha lazima mtu ajisajili, sasa hadi mashoga wamejisajiri wanachafua hali ya hewa
 
Jf mmetuletea balaa,kuondoa utaratibu kwamba hata kama sio member unaweza kuperuzi Jf, na sasa mnalazimisha lazima mtu ajisajili, sasa hadi mashoga wamejisajiri wanachafua hali ya hewa
Hizo mada za ushoga zimeanza saa ngapi mkuu,,au ndio nyinyi mnahisi ili uwe mwanamme lazima uumbwe na rangi nyeusi au sura yenye muonekano mgumu ,,na wakat hata manabii wengi walikua na mvuto wa kuustajabu mfano yusuf au jesus au mohammed s.a.w..
 
Back
Top Bottom