goodluck swati
Member
- Oct 28, 2012
- 5
- 2
Kuna biashara nyingi sana napata ziona watu wakizifanya na kufanikiwa kwa kiasi kikubwa sanaaa,,,.na hii nikwasababu ya kupata elimu na uelewa mkubwa wa biashara hizo,wanaf;
Wale wenye uzoefu na mawazo chanya pia na wanao jishugulisha na biashara kama ya BAR,PUB,GEUST HOUSE, hv hzi biashara nahsi ninzuri na zinalipa sana ila ningependaa kujua moja mbili tatu changamoto zinazopatikana katika biashara hzi ni kama zipi???...
Wale wenye uzoefu na mawazo chanya pia na wanao jishugulisha na biashara kama ya BAR,PUB,GEUST HOUSE, hv hzi biashara nahsi ninzuri na zinalipa sana ila ningependaa kujua moja mbili tatu changamoto zinazopatikana katika biashara hzi ni kama zipi???...