Hahahahaha ni aibu sanaNikikumbuka matusi yao na mbwembwe na zaidi kuingiza watu bure uwanjani nafikiria sijui wale viongozi walikiwa wanafikiria kwa kutumia kiungo gani
Inabidi waundiwe tume ya uchunguziBiashara imepanda daraja msimu huu lakini haitembezi bakuli...
Yanga imezidiwa hata na mbao fc kweli?
Yanga ina wanachama wengi na watu wakubwa tu huko serikalini, hao hawaijui hali ya timu?!
Pengine hii isije ikawa ni mradi au mazingira ya utakatishaji wa fedha yanaandaliwa...
Hamjielewi nyie,sisi wapenzi wa Yanga tunachanga mbona nyie mnalambwa midole na kanjibahai .kesho natume dola 5,000 za kimarekani.Tunataka ushindi tuu,umemuona Feisal? Makamboo jee?Nikikumbuka matusi yao na mbwembwe na zaidi kuingiza watu bure uwanjani nafikiria sijui wale viongozi walikiwa wanafikiria kwa kutumia kiungo gani
Sina tatizo na wewe kuchangia tatizo ni lugha uliyoitumia kunitukana nimekusamehe bureHamjielewi nyie,sisi wapenzi wa Yanga tunachanga mbona nyie mnalambwa midole na kanjibahai .kesho natume dola 5,000 za kimarekani.Tunataka ushindi tuu,umemuona Feisal? Makamboo jee?
Sent using Jamii Forums mobile app
MakalioNikikumbuka matusi yao na mbwembwe na zaidi kuingiza watu bure uwanjani nafikiria sijui wale viongozi walikiwa wanafikiria kwa kutumia kiungo gani
Oya usiwafananishe biashara na yanga hebu tutake radhi watu Wa Mara tafadhaliBiashara imepanda daraja msimu huu lakini haitembezi bakuli...
Yanga imezidiwa hata na mbao fc kweli?
Yanga ina wanachama wengi na watu wakubwa tu huko serikalini, hao hawaijui hali ya timu?!
Pengine hii isije ikawa ni mradi au mazingira ya utakatishaji wa fedha yanaandaliwa...
Wasubiri Mo awatose kama kawaida yake. Hawezi kumaliza mwaka. Mbagala Market sasa ni African Lyon, Singida United. Ni zamu ya Simba sasa.Wewe kama waona aibu kuchangia pita mbali, acha wenye mapenzi ya kweli kwa timu yao wachange. Si unaona sasa timu inabadilika kila uchao, hadi wale wa upande wa pili wanaanza kuweweseka. Wenye moyo safi na timu yao tafadhari changia bila kuchoka, kitaeleweka tu, na watakoma mwaka huu.