Alionana nao wa hizi za wilayan,
lkn akalalamika kwamba hawana vifaa kama ultra sound pia hawaco competent,
mwez wa 9/2014 alienda seketure mwanza akaangaliwa akaambiwa ana majimaji kwenye mfuko wa uzazi ndo akapewa vidonge na kweli alikiri kuwa alikuwa akiyaona lkn alihis ni kawaida, kwa ss amepona hilo tatizo la majimaji ambayo anahisi yalichangiwa na fungus alizougua kwa muda wa mwaka mzima.