Changu akajua amepata Mreno, akalamba “Wallet”

Ha ha ha haaah...lol, mtambuzi, sijui hii imenipitia wapi!!
Nimependa simulizi lako..full kuvunjika mbavu hapa!
 
Ha ha ha haaah...lol, mtambuzi, sijui hii imenipitia wapi!!
Nimependa simulizi lako..full kuvunjika mbavu hapa!
Mzee mwenzangu Rejao, uzee huu nimepitia mengi, sasa uzee umechukuwa nafasi nimebaki kunusa ugoro tu hapa nyumbani na mkongojo wangu.....................ha ha hahaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
 
Hahahahahahaa..., Mtambuzi kumbe ni mtu wa fix this much, duh...!
Amigo unatwanga kiswazi tena kile cha mwananyamala, duh we mkare:lol::lol::lol:

haaaah haaah hata mm nimecheka mpaka basi lol.
 
Hongera sana mkuu kwa story za kufurahisha.

Nimekubali kuwa kila mtu ana ulevi wake
na wewe ulevi wako ni kuandika.

Je unaandika mchana au usiku,
utasema 'Muulize mama Ngina'
 

Atakuwa alikuwa anatafuta "wakorofi"
 
Mtu angeingia hapa ofisini, angejua nimekuwa chizi. Nimecheka sana, shukrani kaka.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…