Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
movie i recommend......pretty woman!
i cant get enough of it!
Mshawishi jamaa yako akapime,wazungumze na binti kwa undani na wajadili historia,wakati wa sasa na wanakokwenda,wakikubaliana na wakaacha njia zao mbaya,ndoa itakuwa ya baraka.....machangudoa ni wale wafanyao wazi but ukitafsiri sana wengi wa wasichana wanaweza kuwa humo humo......na wakiamua kuoana,Mungu awatunze...AMEN
People do Change! Wapo walioolewa Bikra lakini wakaja kuwa malaya kupindukia.wapo malaya walioamua kuolewa wakatulia na kuwa wake wazuri.
Wapo pia ambao awaachi asiri yao wanafanya umalaya japo ni wake za watu.
Apa ukweli nikuwa ni hulka ya mtu tu
Umalaya auna kabila wala dini.
Don't make a hoe a house wife
Hotel waitress, Wahudumu wa Bar je?? Wanafaa kuoa?
ulipotelea wapi wewe jamani??? au umeshikwa na siasa zenu/??:clap2::clap2:
Huyu siasa zitamtoa roho
amjuae mchawi...................... (malizia basi)
ulivyoandika inakuwa ngumu kweli kuelewa...nafikiri ungekuwa umetumia nukta na koma za kutosha ingesaidia!
Otherwize, nafikiri yeye anatakiwa kumfahamu huyo binti vizuri zaidi kabla ya kufanya maamuzi! Hapa watakuambia mengi like cd sio mzuri. Inawezekana binti kabadilika kweli! So uamuzi uko kwake.
hao wote wamekutana changudoa na changudume (mtu na mteja wake) kama huyo ndg yako ni mmteja wa machangudoa na amefikia anataka kuacha na kuoa changudoa basi hata huyo changudoa nae anaweza kuacha ni makubaliano tu na kwa taarifa yako wengi wa machangudoa wanafanya vile kwa shida tu wanatamani sana kuolewa na kuishi maisha ya kawaidahute soma vizuri,,mzungu ni metoa mfano alishaoa na yuko na ndoa yake..
anaetaka kuoa ni jamaa yangu soon takuwa nae tena hapo kati..na pia mwanamke yaani mamaa nae anataka kupima na jamaa kupima ni sawa na kumtupia DENI LA DOWANS wakati mhusika anajulikana
tumsaidiaje...leo nimepanga kwanza nikatoe somo jinsi ya kukubali kwake kupima nikisubiri swala hilo hapo juu natumaini nae atapata mawazo mengine mazuri ....ila kazi ipo.