Nyankurungu2020
JF-Expert Member
- Oct 2, 2020
- 4,170
- 6,757
Rubbish from a rabid mind! Maladhi Ni Nini?Tumeembia na viongozi mbalimbali wa kitaifa kuwa chanjo ya Jonhsonjonhson ni super shot. Maana yake unadungwa shot moja na unakuwa umepata kinga.
Wanaoinadi wanatuchanya zaidi kwa kutoa maelezo kuwa hata kama ukipata chanjo hiyo lazima ubaki ukichukua tahadhari kama kuvaa barakoa, kunawa mikono na kuepuka misongamano.
Kama hii chanjo ya Johson and Jonhson ni kinga dhidi ya malazi. Kwa nini tuendelee kuvaa barakoa na kuchukua tahadhari baada ya kuchanja?
Taifa la Tanzania litamkumbuka hayati JPM. Maana hakupenda tuingizwe mkenge kisa tu misaada.
So what is purpose of vaccination?Duniani hakuna chanjo ambayo ni 100 percent
Wewe unafikiri huyo unayekuwa unamkumbuka angekuwa mwerevu angelala udongoni kirahisi hvyo? Ujinga hupelekea maangamiziTumeembia na viongozi mbalimbali wa kitaifa kuwa chanjo ya Jonhsonjonhson ni super shot. Maana yake unadungwa shot moja na unakuwa umepata kinga.
Wanaoinadi wanatuchanya zaidi kwa kutoa maelezo kuwa hata kama ukipata chanjo hiyo lazima ubaki ukichukua tahadhari kama kuvaa barakoa, kunawa mikono na kuepuka misongamano.
Kama hii chanjo ya Johson and Jonhson ni kinga dhidi ya malazi. Kwa nini tuendelee kuvaa barakoa na kuchukua tahadhari baada ya kuchanja?
Taifa la Tanzania litamkumbuka hayati JPM. Maana hakupenda tuingizwe mkenge kisa tu misaada.
Hili ndo swali la msingi ulilopaswa kuanza nalo 🤣 🤣So what is purpose of vaccination?
Acha urongo ndugu,Duniani hakuna chanjo ambayo ni 100 percent
Wewe umewahi kuona kwenye scientific journal ipi kwamba duniani kuna chanjo ni 100% effective?? where??Acha urongo ndugu,
Tulidungwa chanjo za TB na hatupati TB tena.
Surua, polia na pepopunda, zote hizo zina chanjo yake ambayo ni 100 perfect efficient. Ukidungwa hauugui tena.
Lakini haya matakataka ya covid sio chanjo ni usanii wenye malengo tofauti na tunayoambiwa
Poor mind.Tumeembia na viongozi mbalimbali wa kitaifa kuwa chanjo ya Jonhsonjonhson ni super shot. Maana yake unadungwa shot moja na unakuwa umepata kinga.
Wanaoinadi wanatuchanya zaidi kwa kutoa maelezo kuwa hata kama ukipata chanjo hiyo lazima ubaki ukichukua tahadhari kama kuvaa barakoa, kunawa mikono na kuepuka misongamano.
Kama hii chanjo ya Johson and Jonhson ni kinga dhidi ya malazi. Kwa nini tuendelee kuvaa barakoa na kuchukua tahadhari baada ya kuchanja?
Taifa la Tanzania litamkumbuka hayati JPM. Maana hakupenda tuingizwe mkenge kisa tu misaada.
Nimemuuliza nini maana ya vaccination, hajajibu.Acha urongo ndugu,
Tulidungwa chanjo za TB na hatupati TB tena.
Surua, polia na pepopunda, zote hizo zina chanjo yake ambayo ni 100 perfect efficient. Ukidungwa hauugui tena.
Lakini haya matakataka ya covid sio chanjo ni usanii wenye malengo tofauti na tunayoambiwa
We mavi huwezi kujua kitu.Rubbish from a rabid mind! Maladhi Ni Nini?
Una hoja ila umeiharibu kwa kumtaja JPMTumeembia na viongozi mbalimbali wa kitaifa kuwa chanjo ya Jonhsonjonhson ni super shot. Maana yake unadungwa shot moja na unakuwa umepata kinga.
Wanaoinadi wanatuchanya zaidi kwa kutoa maelezo kuwa hata kama ukipata chanjo hiyo lazima ubaki ukichukua tahadhari kama kuvaa barakoa, kunawa mikono na kuepuka misongamano.
Kama hii chanjo ya Johson and Jonhson ni kinga dhidi ya malazi. Kwa nini tuendelee kuvaa barakoa na kuchukua tahadhari baada ya kuchanja?
Taifa la Tanzania litamkumbuka hayati JPM. Maana hakupenda tuingizwe mkenge kisa tu misaada.
Wewe unafikiri huyo unayekuwa unamkumbuka angekuwa mwerevu angelala udongoni kirahisi hvyo? Ujinga hupelekea maangamizi
Hakuna chanjo au dawa yoyote duniani isiyokuwa na side effect,hata kwenye hii report utaona out of 12.8M ni watu 100 waliyoathirika,kimahesabu watu walioathirika ni sawa na asilimia 0.0000078125,Hivyo asilimia 99.9999921875 ya watu waliochoma hawajadhurika.Johnson and Johnson’s Covid-19 vaccine has another problematic rare side effect
As of 30 June, there have been 100 preliminary reports of Guillain-Barré syndrome in the US out of 12.8 million Johnson and Johnson vaccine doses given.www.pharmaceutical-technology.com
Kama huamini katika chanjo,uzuri umeshaelimishwa kuwa nihiyari,hivyo jiepushe kupotosha wengine,acha mwenye hiari afanye uamuzi wa hiari,imani yako sii imani yangu,hivyo tupeane nafasi huru katika maamuzi binafsi.Tumeembia na viongozi mbalimbali wa kitaifa kuwa chanjo ya Jonhsonjonhson ni super shot. Maana yake unadungwa shot moja na unakuwa umepata kinga.
Wanaoinadi wanatuchanya zaidi kwa kutoa maelezo kuwa hata kama ukipata chanjo hiyo lazima ubaki ukichukua tahadhari kama kuvaa barakoa, kunawa mikono na kuepuka misongamano.
Kama hii chanjo ya Johson and Jonhson ni kinga dhidi ya malazi. Kwa nini tuendelee kuvaa barakoa na kuchukua tahadhari baada ya kuchanja?
Taifa la Tanzania litamkumbuka hayati JPM. Maana hakupenda tuingizwe mkenge kisa tu misaada.