#COVID19 Chanjo ni kinga dhidi ya maradhi. Kama chanjo ya Uviko-19 sio kinga kwa 100% kwanini tuipigie debe kwa nguvu? Tutakukumbuka hayati JPM

Nyankurungu2020

JF-Expert Member
Joined
Oct 2, 2020
Posts
4,170
Reaction score
6,757
Tumeambiwa na viongozi mbalimbali wa kitaifa kuwa chanjo ya Jonhsonjonhson ni super shot. Maana yake unadungwa shot moja na unakuwa umepata kinga.

Wanaoinadi wanatuchanya zaidi kwa kutoa maelezo kuwa hata kama ukipata chanjo hiyo lazima ubaki ukichukua tahadhari kama kuvaa barakoa, kunawa mikono na kuepuka misongamano.

Kama hii chanjo ya Johson and Jonhson ni kinga dhidi ya maradhi. Kwa nini tuendelee kuvaa barakoa na kuchukua tahadhari baada ya kuchanja?

Taifa la Tanzania litamkumbuka hayati JPM. Maana hakupenda tuingizwe mkenge kisa tu misaada.
 
Rubbish from a rabid mind! Maladhi Ni Nini?
 
Chanjo ya corona ni biashara yenye ujasusi ndani yake.

Ni chanjo ya mwendokasi ambayo lengo lake sio kukukinga na corona. Ina kazi tofauti ndani ya mwili.

Hapa madalali wa chanjo watakuja kufoka balaa, lakini huo ndio ukweli. Hizi sio chanjo, ni maji yenye chuma ndani yake.

Hizi ni electromagnetic vaccines zenye malengo ya kuwatawala watu kwa mifumo ya kompyuta. HIZI SIO CHANJO, NI MATAKATAKA.

Na kila mwenye akili timamu atazikataa na kuzipinga.
 
Wewe unafikiri huyo unayekuwa unamkumbuka angekuwa mwerevu angelala udongoni kirahisi hvyo? Ujinga hupelekea maangamizi
 
Wewe umewahi kuona kwenye scientific journal ipi kwamba duniani kuna chanjo ni 100% effective?? where??
 
Uzuri ni kwamba kijani wanawaondoa wapinzani wao duniani na MUNGU anawaondoa kwa CORONA 🤣 🤣 🤣 Both team tu score wallah
 
Poor mind.
 
Nimemuuliza nini maana ya vaccination, hajajibu.
 
Una hoja ila umeiharibu kwa kumtaja JPM
 
Hakuna chanjo au dawa yoyote duniani isiyokuwa na side effect,hata kwenye hii report utaona out of 12.8M ni watu 100 waliyoathirika,kimahesabu watu walioathirika ni sawa na asilimia 0.0000078125,Hivyo asilimia 99.9999921875 ya watu waliochoma hawajadhurika.
 
Kama huamini katika chanjo,uzuri umeshaelimishwa kuwa nihiyari,hivyo jiepushe kupotosha wengine,acha mwenye hiari afanye uamuzi wa hiari,imani yako sii imani yangu,hivyo tupeane nafasi huru katika maamuzi binafsi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…