Mpaka sasa vifo vya Corona hazisemwi waziwazi na mnategemea watu wataona vipi umuhimu wa chanjo kama vifo vingi vya corona, watoa taarifa wanaogopa kutangaza wazi na kuishia kusema kwa sirisiri.
Haya ndiyo mambo yanayorudisha nyuma mapambano ya huu ugojwa. Huu ni ushauri tangazeni vifo vyote waziwazi na wagojwa waziwazi ndiyo hili swala litafanikiwa, nashukuru wazazi wangu hawakuwasikiliza hawa wachungaji matapeli na wakaenda kuchanja.
Haya ndiyo mambo yanayorudisha nyuma mapambano ya huu ugojwa. Huu ni ushauri tangazeni vifo vyote waziwazi na wagojwa waziwazi ndiyo hili swala litafanikiwa, nashukuru wazazi wangu hawakuwasikiliza hawa wachungaji matapeli na wakaenda kuchanja.