Chanjo ya Corona ikitolewa kwa hiyari, tutakula hasara

Chanjo ya Corona ikitolewa kwa hiyari, tutakula hasara

Hatutaki serikali iagize waachie hilo jukumu hospitali binafsi ndio waagize anayetaka chanjo aende huko na waanze wanasiasa kwanza na wanaotaka kwa hiari yao.

Wahudumu wa afya wasichanjwe wapewe tu vifaa vya kujikinga wanapohudumia wagonjwa wa korona.

Majeshini marufuku hii chanjo iko kwenye majaribio jeshini sio sehemu ya kujaribia dawa
Kuepuka hasara, hii inaweza kufanya kazi,

Hofu ni ileile tu kwamba kama hospitali binafsi zitaagiza mara ya kwanza zikaexpire bila kutumika, mara ya pili na ya tatu watakuwa wameingia hasara pia

Serikali iagize kutokana na order iliyopo, i.e mahujaji wangapi wanataka, watu wangapi wanataka kusafiri kwenda nchi ambazo hauingii bila chanjo, then wazilete kwa namba hiyo ili kuwa optimum
 
Ni kwa muda sasa kumekuwa na mjadala kuhusu chanjo ya corona ambayo inawezekana kwa sababu za kisiasa, wameamua kusema kuwa ni hiyari. Ili watu wasione ubaya wa kuchoma. Lakini naomba ni waambie ikiwa ni ya hiyari, tutakula hasara

Hasara ya chanjo kuwa hiyari
  1. Chanjo tunanunua na kuongezewa fedha kidogo za msaada, ikiwa hiyari watu hawatachoma, zitaexpire na tutaishia kuziteketeza kitu ambacho itakuwa tumepoteza hela ambazo tumezitumia kununulia. Nchi kadhaa wameshateketeza chanjo kwa ku-expire
  2. Lazima tuwe na vituo na watumishi. Mtumishi kukaa sehemu kusubiri mtu aje kwa hiyari siku nzima anaweza kuchoma watu wawili kitu ambacho ni hasara, kwa kuwa tunaingia gharama kuwaweka watumishi hao na costs nyingine
Maoni
Serikali iweke wazi kuwa chanjo ni lazima au tuagize kidogo ya kukaa viwanja vya ndege kwa ajili ya wasafiri ambao nchi wanazotaka kwenda zinahitaji waliochoma chanjo tu

Signed
OEDIPUS
Our Fathers fought tooth and nail, scrimmaging in caves and forests, dodging bullets, kicking ass and eventually came out victorious, giving our African continent Independence. Fast forward to 2021you guys are "surrendering/selling our liberties over a flue???? SHAME ON YOU!!!!
 
Ni kwa muda sasa kumekuwa na mjadala kuhusu chanjo ya corona ambayo inawezekana kwa sababu za kisiasa, wameamua kusema kuwa ni hiyari. Ili watu wasione ubaya wa kuchoma. Lakini naomba ni waambie ikiwa ni ya hiyari, tutakula hasara

Hasara ya chanjo kuwa hiyari
  1. Chanjo tunanunua na kuongezewa fedha kidogo za msaada, ikiwa hiyari watu hawatachoma, zitaexpire na tutaishia kuziteketeza kitu ambacho itakuwa tumepoteza hela ambazo tumezitumia kununulia. Nchi kadhaa wameshateketeza chanjo kwa ku-expire
  2. Lazima tuwe na vituo na watumishi. Mtumishi kukaa sehemu kusubiri mtu aje kwa hiyari siku nzima anaweza kuchoma watu wawili kitu ambacho ni hasara, kwa kuwa tunaingia gharama kuwaweka watumishi hao na costs nyingine
Maoni
Serikali iweke wazi kuwa chanjo ni lazima au tuagize kidogo ya kukaa viwanja vya ndege kwa ajili ya wasafiri ambao nchi wanazotaka kwenda zinahitaji waliochoma chanjo tu

Signed
OEDIPUS
Kasome sheria ya chanjo ndugu
 
Ni kwa muda sasa kumekuwa na mjadala kuhusu chanjo ya corona ambayo inawezekana kwa sababu za kisiasa, wameamua kusema kuwa ni hiyari. Ili watu wasione ubaya wa kuchoma. Lakini naomba ni waambie ikiwa ni ya hiyari, tutakula hasara

Hasara ya chanjo kuwa hiyari
  1. Chanjo tunanunua na kuongezewa fedha kidogo za msaada, ikiwa hiyari watu hawatachoma, zitaexpire na tutaishia kuziteketeza kitu ambacho itakuwa tumepoteza hela ambazo tumezitumia kununulia. Nchi kadhaa wameshateketeza chanjo kwa ku-expire
  2. Lazima tuwe na vituo na watumishi. Mtumishi kukaa sehemu kusubiri mtu aje kwa hiyari siku nzima anaweza kuchoma watu wawili kitu ambacho ni hasara, kwa kuwa tunaingia gharama kuwaweka watumishi hao na costs nyingine
Maoni
Serikali iweke wazi kuwa chanjo ni lazima au tuagize kidogo ya kukaa viwanja vya ndege kwa ajili ya wasafiri ambao nchi wanazotaka kwenda zinahitaji waliochoma chanjo tu

Signed
OEDIPUS

Kwa nini msisajiri kwanza wanaotaka kuchwanjwa kisha muweke oda kulinga na mahitaji? Hakuna kuchanja mtu kwa lazima hapa!
 
mi kwanza hiyo Corona yenyewe naisikia kwenye taarifa za habari tu sijasikia ndugu,rafiki,jirani wala mtu yeyote ninayemfahamu aliyekufa kwa huo ugonjwa kwahiyo kunichoma sindano ya chanjo wanahitajika wanajeshi kama watano wanikamate kwa nguvu ndo nitachomwa.
umenichekesha hiyo WANAJESHI WA 5
nimemkumbuka B mkubwa
yeye kasema labda lije GREDA pamoja FIDIFOSI
 
Ukweli ni kwamba mama ameona,aikubali chanjo ili aepukane na tashishi za wazungu,lakini ukweli anajua kabisa Tanzania hatuna haja ya chanjo zao.sote tunajua ameikubali kwa kuzugia,Sasa ili asivuje vikodi vyetu tulivyo hamasika kuilipa sirikali yetu ,na vingine tukabanwabanwa na tiaraei ndo tukalipa,Basi aagize vichanjo kiduchu aweke sehemu ambazo wazungu wanaingia na kutoka ,viwanja vya ndege tu basi.kaujanja unakotaka kuwazuga wazungu na kuepukana na nongwa zao,tumekusoma,lakini nasema lakini!, Usiagize mishehena ya cargo za michanjo hii ya kipuuzi,chonde mama utakuwa umetukosea Sana ss walipa Kodi.ova.
Hili swala mnalikuza tyu. Ila lilisha isha mapema sna. Tunaagiza chanjo chache tyu kwa watu wanao taka. Maisha yanaendelea. Cha muhimu kwetu ni kuwajali wahududmu wa afya, Ventilators kwa abaadhi ya watanzania wachache ambao watapata magonjwa ya upumuaji. pamoja na kuboresha tafiti zetu juu ya ugonjwa huu(Mind you no body knows exactly source ya huu ugonjwa inaeza ikawa kweli dunia nzima inacheza ngoma ya kikundi fulani cha watu)

Sent from my CPH1819 using JamiiForums mobile app
 
Si ilisemekana raia wanataka chanjo! Imekuwaje tena kusema kwamba hawatochanja Ikiwa hiari? 🤔
 
umenichekesha hiyo WANAJESHI WA 5
nimemkumbuka B mkubwa
yeye kasema labda lije GREDA pamoja FIDIFOSI
yupo sahihi B mkubwa kiukweli huu ugonjwa ungekuwepo kweli kama wanavyosema mi usingenikosa tena ningeupata mara nyingi sana kutokana na kazi ninayofanya,ukiangalia jinsi unavyotangazwa kwenye taarifa za habari na hali ilivyo mtaani ni vitu viwili tofauti sioni sababu ya mimi kupata chanjo ya dharula ambayo haijakidhi vigezo vya chanjo inavyopaswa kuwa mpk kuidhinishwa kwake.
 
Back
Top Bottom