JU60_tz
New Member
- Aug 5, 2021
- 2
- 3
Je, vitu hivyo ni siri? ni kwanini viwe siri wakati haya ni mapambano ya Dunia nzima na tunasema kuwa tunashirikiana kupambana na janga hili!?
Je, wataalamu wetu wa Afya Tanzania wanavifahamu vitu hivyo? kama ndiyo kwanini wasimwambie MAMA ili tuvipate tuweze kutengeneza chanjo yetu wenyewe pasipo kungoja msaada!?
Kama sisi (Tanzania) hatuwezi kuitengeneza (kutokana na gharama za uzalishaji) kwanini tusiwaombe WHO kusaidia katika kutuwezesha kuzalisha chanjo kwa kutumia teknolojia hiyo ambayo tayari imeshafahamika!?
Vipi kama EAC na SADC zikiungana na kwa kushirikiana na huyo WHO kikawekwa kuwanda cha kutengeneza chanjo hiyo na kuisambaza kwenye nchi husika!?
Je, wataalamu wetu wa Afya Tanzania wanavifahamu vitu hivyo? kama ndiyo kwanini wasimwambie MAMA ili tuvipate tuweze kutengeneza chanjo yetu wenyewe pasipo kungoja msaada!?
Kama sisi (Tanzania) hatuwezi kuitengeneza (kutokana na gharama za uzalishaji) kwanini tusiwaombe WHO kusaidia katika kutuwezesha kuzalisha chanjo kwa kutumia teknolojia hiyo ambayo tayari imeshafahamika!?
Vipi kama EAC na SADC zikiungana na kwa kushirikiana na huyo WHO kikawekwa kuwanda cha kutengeneza chanjo hiyo na kuisambaza kwenye nchi husika!?