Da Vinci XV
JF-Expert Member
- Dec 7, 2019
- 3,862
- 6,438
Wakuu
Nikamtazama bwana Yoweri Museveni wa pale Uganda
Kisha nikamtazama Uhuru Kenyatta
Nikaja kumtazama Paul Kagame , huyu kidogo nikashtuka misimamo yake inarandana sana na Hayati Magufuli nikajiuliza maswali machache ambayo kidogo yanahitaji majibu mengi, huenda hata wewe ukawa wajiuliza kuhusu hilo swala🤔
Mara
Ikaniingia hofu, yangu ya kwanza kuhusu COVID-19 na cha ajabu hofu hiyo ikanishangaza zaidi ya ilivyonitisha
Where do we go??
Nikamtazama bwana Yoweri Museveni wa pale Uganda
Kisha nikamtazama Uhuru Kenyatta
Nikaja kumtazama Paul Kagame , huyu kidogo nikashtuka misimamo yake inarandana sana na Hayati Magufuli nikajiuliza maswali machache ambayo kidogo yanahitaji majibu mengi, huenda hata wewe ukawa wajiuliza kuhusu hilo swala🤔
Mara
Ikaniingia hofu, yangu ya kwanza kuhusu COVID-19 na cha ajabu hofu hiyo ikanishangaza zaidi ya ilivyonitisha
Where do we go??