Sabby Masuki
New Member
- Jul 29, 2021
- 4
- 1
Maana ya mtu akipata chanjo na kujaza form ina maan gan? Mbona hizo chanjo zingin watu hawajaz form na baadhi ya chanjo zimeandikwa zisitumike Canada na UK why? Kwamba Africa n mahala pa kufanya majaribio ya izo vaccines zao