Miss Natafuta
JF-Expert Member
- Sep 16, 2015
- 27,031
- 49,928
Asante mkuu Asante kwa mibarakaMiss Natafuta nimekumiss sana mamii, natumai u mzima na buheri wa afya, nikutakie asubuhi njema na yenye baraka.
Na mpenzi wako?Mimi nimepata...
nasikia lazima wakupime ngoma kwanza au porojo?Asante mkuu Asante kwa mibaraka
Love u more
Kapate chanjo tusijeleteana maradhi
Asante mkuu Asante kwa mibaraka
Love u more
Kapate chanjo tusijeleteana maradhi
Unaogopa kupima ngoma?nasikia lazima wakupime ngoma kwanza au porojo?
Wote tayari,tunasubiria ya mwisho mwezi November...Na mpenzi wako?
Kizuri kula na nduguyo
Wangapi mmepata chanjo?
Na kwa ambao hamjapata mnajua hili swala?
Upo mkoa gani mkuu?chanjo inapatikana wap
chanjo tunapatia wapi, nije unipeleke?Asante mkuu Asante kwa mibaraka
Love u more
Kapate chanjo tusijeleteana maradhi
jumla sindano ngapi mkuu?Mi tayari ya mwisho nimechoma juzi
Nitakupeleka babechanjo tunapatia wapi, nije unipeleke?
nipo dar
HAHAHAHAHAHAHAHNgoja kwanza. Inamahusiano na nguvu zetu mabaharia?
Upo mkoa gani?Gharama ni sh ngp?,。。。
Dose ikoje....
Masharti yakoje
But aksante kwa kutujuza