Chanjo ya Malaria ipo njiani; je, utakubali kuchoma chanjo hiyo?

Chanjo ya Malaria ipo njiani; je, utakubali kuchoma chanjo hiyo?

FRANCIS DA DON

JF-Expert Member
Joined
Sep 4, 2013
Posts
38,920
Reaction score
44,970
Kwa miaka karibu 100, hapakuwa na juhudi kubwa katika kutafuta chanjo ya Malaria, bali makampuni yalijikita zaidi kwenye kutengeneza dawa, maana ilikuwa inalipa zaidi.

Ghafla baada ya kuzuka Corona na wakaweza kuja na ‘Chanjo’ ndani ya miezi michache, na baada ya Afrika kuigomea chanjo hiyo, sasa wamekuja na ‘Chanjo’ ya Malaria, na wamelenga kuwapa waAfrika tu, maana ndio kuna malaria zaidi wanadai.

Je, utakuwa tayari kudungwa chanjo hiyo endapo ikiletwa?

FD4C1EBA-DFE2-4DBF-8248-8497325D0FFA.jpeg
 
Kama dawa zao tunazitumia
hakuna mantiki yoyote kukimbia chanjo
Wakikukosa huku wanakupata kule
Bora kukubaliana na hali halisi
Kushindwa kuikwepa mvua haimaanishi upige mbizi kwenye bwawa la mikojo
 
Back
Top Bottom