FRANCIS DA DON
JF-Expert Member
- Sep 4, 2013
- 38,920
- 44,970
Kwa miaka karibu 100, hapakuwa na juhudi kubwa katika kutafuta chanjo ya Malaria, bali makampuni yalijikita zaidi kwenye kutengeneza dawa, maana ilikuwa inalipa zaidi.
Ghafla baada ya kuzuka Corona na wakaweza kuja na ‘Chanjo’ ndani ya miezi michache, na baada ya Afrika kuigomea chanjo hiyo, sasa wamekuja na ‘Chanjo’ ya Malaria, na wamelenga kuwapa waAfrika tu, maana ndio kuna malaria zaidi wanadai.
Je, utakuwa tayari kudungwa chanjo hiyo endapo ikiletwa?
Ghafla baada ya kuzuka Corona na wakaweza kuja na ‘Chanjo’ ndani ya miezi michache, na baada ya Afrika kuigomea chanjo hiyo, sasa wamekuja na ‘Chanjo’ ya Malaria, na wamelenga kuwapa waAfrika tu, maana ndio kuna malaria zaidi wanadai.
Je, utakuwa tayari kudungwa chanjo hiyo endapo ikiletwa?