Behaviourist
JF-Expert Member
- Apr 8, 2016
- 39,926
- 95,626
Sasa kama dawa zao natumia kila siku hata juzi nimemeza dozi ya malaria kwa nini nikimbia chanjo?!Wewe unaona inaleta sense?We jibu tu, uko tayari?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa kama dawa zao natumia kila siku hata juzi nimemeza dozi ya malaria kwa nini nikimbia chanjo?!Wewe unaona inaleta sense?We jibu tu, uko tayari?
Kansakati ya kansa na ngoma waanze na yipi mkuu ukiambiwa uchaguwe?
Kansa mzazi..kansa mziki mwingine huokati ya kansa na ngoma waanze na yipi mkuu ukiambiwa uchaguwe?
kweli kabisa ime nipotezea watu wangu 2Kansa mzazi..kansa mziki mwingine huo
BILA CHANJO NIMEISHI MIAKA 30 BILA MALARIA ! HIYO CHANJO SICHOMI NG'OOOOKwa miaka karibu 100, hapakuwa na juhudi kubwa katika kutafuta chanjo ya Malaria, bali makampuni yalijikita zaidi kwenye kutengeneza dawa, maana ilikuwa inalipa zaidi.
Ghafla baada ya kuzuka Corona na wakaweza kuja na ‘Chanjo’ ndani ya miezi michache, na baada ya Afrika kuigomea chanjo hiyo, sasa wamekuja na ‘Chanjo’ ya Malaria, na wamelenga kuwapa waAfrika tu, maana ndio kuna malaria zaidi wanadai.
Je, utakuwa tayari kudungwa chanjo hiyo endapo ikiletwa?
View attachment 1761343
Kama kweli wao wajanja!Walete ya ngoma,Kansa,kisukari
TuwakilisheniKwa miaka karibu 100, hapakuwa na juhudi kubwa katika kutafuta chanjo ya Malaria, bali makampuni yalijikita zaidi kwenye kutengeneza dawa, maana ilikuwa inalipa zaidi.
Ghafla baada ya kuzuka Corona na wakaweza kuja na ‘Chanjo’ ndani ya miezi michache, na baada ya Afrika kuigomea chanjo hiyo, sasa wamekuja na ‘Chanjo’ ya Malaria, na wamelenga kuwapa waAfrika tu, maana ndio kuna malaria zaidi wanadai.
Je, utakuwa tayari kudungwa chanjo hiyo endapo ikiletwa?
View attachment 1761343
Wachanje tu..., sisi tutakuwa watazamajiTuwakilisheni
BINAFSI siugui hiyo homaChanjo on the way. Mtaikataa kama ya covid?
Homa gani?BINAFSI siugui hiyo homa
NDIYO,,,TUTAIKATAA KWASABABU SIO LAZIMA.Chanjo on the way. Mtaikataa kama ya covid?
SI hiyo ya chanjo iliyokujaHoma gani?