Chanjo ya Malaria yenye Ufanisi mkubwa zaidi yagundulika

Chanjo ya Malaria yenye Ufanisi mkubwa zaidi yagundulika

Status
Not open for further replies.

JamiiTalks

JF Advocacy Team
Joined
Aug 7, 2018
Posts
685
Reaction score
1,124
Timu ya Chuo Kikuu cha Oxford iliyohusika kutengeneza chanjo ya Oxford-AstraZeneca Covid-19 imetengeneza chanjo dhidi ya malaria inayofikia kiwango cha juu cha ufanisi kwa 75% ya Shirika la Afya Ulimwenguni. Chanjo hiyo imepewa jina la R21

Chanjo ya kwanza kugundulika ni RTS mwaka 2015 ambayo Ufanisi wake ilikuwa 29.9% kwa kipindi cha kwanza cha majaribio ya kliniki na 57.7% kwa malaria kali.

Kulingana na matokeo ya awali kutoka kwa jaribio la kliniki lililochapishwa Aprili 22, 2021 imeonesha R21 ni mafanikio makubwa dhidi ya vita ya malaria, ambayo ni chanzo kikubwa cha vifo duniani.
 
Upvote 1
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom